Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

wewe acha uongo upinzani haukuanzishwa na mrema inawezekana ulikuwa hujazaliwa, mrema alifukuzwa ccm baada ya kutofautiana nao kuhusu kashfa ya Chavda, si kweli kwamba alitumwa kuua upinzani.

lowasa amehamia cdm baada ya kukatwa mchakato kila mtu ameshuhudia tick tack zA MWENYEKITI ,nenda kawaaminishe Ujinga wako wajinga wenzio huko mtaa wa lumumba

Aliyeanzisha upinzani ni nani basi?
 
Una uhakika huko CCM hakuna mamluki?

Ninyi watu mnaofanya vyama vya siasa kama uumini wa dini huwa mnashangaza sana...

Kuna watu wanaamini CCM inapaswa iwepo madarakani milele...

Kuna watu wanaamini mtu kuhama chama ni usaliti...

Hivi CCM mmeifanyia nini hii nchi hata mjigambe kuwa mtu hapaswi kutoka huko kwenu na kwenda kwingine?
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Mwaka huu mtaombea mengi sana yatokee ila ukweli ni kwamba jiandaeni kisaikologia ku kambi ya upinzani ama kupotea kabisa katika siasa za TZmiaka michache ijayo.
Tanzania bila ccm inawezekana - Kigumu Chama Cha Majizi
 
Napata shida sana na hawa ndg zng ambao wanashindwa kutofautisha nyakati ivi unaweza kuzungumza mambo ya 1995 leo 2015 kweliii..tz ya mwaka 1995 cyo ya leo 2015 hakuna hata ki2 kimoja cha kulinganisha
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

kifupi chadema imebakwa mwaka huu. Hili wingi la kila mtu akishindwa/kukatwa ccm anahamia chadema huhitaji kuwa na akili za ziada kujua kuna mamluki/majasusi hawatatumia fursa hiyo kuingia chadema na kuivuruga, Chadema hadi uchaguzi mkuu unaisha kitakuwa kimedhoofika sana. ni suala la kusubiri na kuona
 
msiwe biased watanzania sasa tumeelimika na tumechoka, tumeichoka ccm na viongozi wake wazembe, tumechoka kusikiliza ngonjera zenu za amani ya kinafiki, tumechoka kusikia ccm ikijisifia kuwa imeleta maendeleo ambayo mm nayaona ni kiini macho ili muendelee kubaki madarakan, tumechoka kuona sheria zikivunjwa kwa maslah ya watu wachache na sasa hivi c.cm kimekuwa pango au ficho la wafanyabiashara haram za madawa ya kulevya, pembeza ndovu na rasilimali nyingi za taifa..... ccm wanadhan watanzania ni wasahaulifu wa kufuatilia maendeleo ya nchi yetu, hatuko tayari tena kuendelea na viongozi ambao ni waoga wasiokua na ujasir wa kuitetea nchi yao kwa mfano suala la mikataba mibovu ya uwekezaji hususan kwenye madini ni matokeo ya mfumo mbov wa utawala wa chama cha mapinduzi na viongoz wao kuwa wa hovyo kabisa. Wapo wanaoishabikia sisiem kwasababu wamepewa khanga, vilemba, madera, kilo moja ya sukari au kofia na kujisahau ya kua wanaandaa taifa bovu.. kwa hili mimi huwa ninasema na nitaendelea kusema CCM MTAJI WAO NI UJINGA, ila sasa watanzania wengi wanaufahamu na wataihukumu Ccm kisawa sawa....
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA


Nani, Marando? Kwi kwi WM
 
umejitahidi sana kuandika hisia zako za uwongo
lakini hiyo haiwezekani kuishi kwa historia.
bado naamini yaliyopita yamepita
huu ni mwaka wa mabadiliko.
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Mwaka 1995 ilikuwa vyama vichanga na uchaguzi wao wa kwaza kushiriki,so,hata wananchi wapiga kura walikuwa bado na uelewa mdogo na hofu juu ya mageuzi wakizani nchi bila CCM haiwezekani kabisa.

Angalia takwimu mwaka 2005 - 2010 kura za upinzani zilipanda na mwaka huu 2015 zitapanda zaidi kwa sababu kadhaa,

1. Nguvu ya Lowasa ni kubwa sana na nivigumu kushindwa unapomfikisha kwenye kuchaguliwa kwa njia ya kura kumbuka hata CCM walivyojua wanamkata hawakulipeleka jina lake kwenye point ya kupigiwa kura kwasababu wanajua ukweli huo.

2. kumbuka hata watoto waliozaliwa 1995 sasa tunapiga nao kura ile hofu ya (wana umri wamiaka 20 sasa) maana yangu ni kwamba hawana ule U-CCM, U-TANU ,U ASP wala U Nyerere wamezaliwa ndani ya vyama vingi na wamekuliwa humu,so, wanapoelimishwa kwamba hizi changamoto wanazokabiliana nazo zitaondolewa nje ya CCM wanahamasika.

3.Udhaifu na mapungufu ya CCM yenyewe sasa yako wazi mno hata mtoto ana ona jinsi wana vyoumbuana kwa chaguzi zao za rushwa n.k
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Na sasa wanafanya nini mkuu mana naona umeandika "walijitahidi"
 
msiwe biased watanzania sasa tumeelimika na tumechoka, tumeichoka ccm na viongozi wake wazembe, tumechoka kusikiliza ngonjera zenu za amani ya kinafiki, tumechoka kusikia ccm ikijisifia kuwa imeleta maendeleo ambayo mm nayaona ni kiini macho ili muendelee kubaki madarakan, tumechoka kuona sheria zikivunjwa kwa maslah ya watu wachache na sasa hivi c.cm kimekuwa pango au ficho la wafanyabiashara haram za madawa ya kulevya, pembeza ndovu na rasilimali nyingi za taifa..... ccm wanadhan watanzania ni wasahaulifu wa kufuatilia maendeleo ya nchi yetu, hatuko tayari tena kuendelea na viongozi ambao ni waoga wasiokua na ujasir wa kuitetea nchi yao kwa mfano suala la mikataba mibovu ya uwekezaji hususan kwenye madini ni matokeo ya mfumo mbov wa utawala wa chama cha mapinduzi na viongoz wao kuwa wa hovyo kabisa. Wapo wanaoishabikia sisiem kwasababu wamepewa khanga, vilemba, madera, kilo moja ya sukari au kofia na kujisahau ya kua wanaandaa taifa bovu.. kwa hili mimi huwa ninasema na nitaendelea kusema CCM MTAJI WAO NI UJINGA, ila sasa watanzania wengi wanaufahamu na wataihukumu Ccm kisawa sawa....

Umechokwa wewe japokuwa bado hujapewa makavu yako, CCM ni baba lao hata ufanyaje itakutawala tu
 
unaongelea mwaka 95 wakati ccm ingari imara, tena na nyerere alikuwa yu ngali hai.....leo mwaka 2015 ccm i vipande vipande chini ya m/kiti jk, kinana na mangula ni kama wanalazimishwa kufanya kazi, mkapa,mwinyi,karume na wazee wengine kama kina warioba na butiku wnatamani ccm ife waangalie ustaarabu mwingine.

you have made my day, umenichekesha sana hasa pale uliposema akina warioba wanatamani ife..
 
wewe acha uongo upinzani haukuanzishwa na mrema inawezekana ulikuwa hujazaliwa, mrema alifukuzwa ccm baada ya kutofautiana nao kuhusu kashfa ya Chavda, si kweli kwamba alitumwa kuua upinzani.

lowasa amehamia cdm baada ya kukatwa mchakato kila mtu ameshuhudia tick tack zA MWENYEKITI ,nenda kawaaminishe Ujinga wako wajinga wenzio huko mtaa wa lumumba
Mrema hakufukuzwa,bali alijivua mwenyewe uwaziri kwenye serikali ya mwinyi.
 
Back
Top Bottom