Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,994
Madenge alikuwa ni dogo wa bush. Hata timu alichezea Bus stars, alikuwA kipa waoTabora vipi wakati mishe za madenge zilikua za kimjini mjini?
Madenge alikuwa ni dogo wa bush. Hata timu alichezea Bus stars, alikuwA kipa waoTabora vipi wakati mishe za madenge zilikua za kimjini mjini?
Mkongwe alikua mhariri wa jarida la SaniKila jambo hapa duniani, mwanzilishi wake 'akivuta', jambo hilo huishia kusambaratika na kufa kifo cha kawaida.
Hata akatokea mrithi, huwa hawezi kulipeleka kama mwanzilishi alivyoliendesha.
Kadhia ilianza pale mchoraji wao nguli Kaduma kufariki kifo cha mapema pamoja na waandishi wengine.
Waliofuatia hawakufikia viwango vya waanzilishi.
Na mabadiliko ya teknolojia ya mawasiliano, hasa simu janja kuzagaa mikononi mwa wadau, ndiyo basi tena.
Hilo jarida la Bongo sio SaniDuuh! Mapungo "The Goden Boy" yule mwamba akiwa Mabush Stars.
KiwiHivi gazeti lenye wanawake wenye mizigo ya maana lilikuwa ni sani au?
Ahsante, vipi una maktaba nalo lileKiwi
Huyo anty soni, aliyechorwaHivi gazeti lenye wanawake wenye mizigo ya maana lilikuwa ni sani au?
Hivi wale watu walikua halisi?Huyo anty soni, aliyechorwa
Kiukweli kiuhalisia alikuwa na
Zigo kweli kweli
Miaka ya nyuma kila baharia
Aliyekuwa anatoka nje,alikuwa
Anamvizia
Ova