green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
Wakuu hasa wale 80,s na 90,s nadhani mnakumbuka majarida ya kipindo hicho enzi za Kisiwa cha Kitintale Obi na Zumo na Prof Ndumilakuwili, Lodi lofa sokomoko, Comred kipepe Madenge, Mzee Meko, Kifimbo cheza na wengine wengi nakumbuka tulikua tunatunza hayo magazeti na unaweza kupata demu kwa kumuazima tu akasome. Wachoraji wa enzi hizo Ibra Radi Washokera, Michael Katembo, John Kaduma na nk hakika tulipata ladha flani adimu sana