Hewa haitoshi, yote hii??kwa hiyo maradhi yaliyopelekea umauti wake, ni hewa haitoshi mkuu?
Na sijui zile dawa kikombe cha madagascar wanakunywa akina nani pia?Kwani hizo dawa ambazo NIMRI imezipitisha wanakunywa kina nani!??
Ushahidi wanao waume zako Meko na Bashite!Kuna mwenye ushahidi huyo dada amefariki?
Kwa hiyo Kaka tuchat walikosea kuwa covid-19 hairuhusu kuandika mirathi/wosiaAlikuwa akisumbuliwa na nini?!
Baada ya kupost hili kwnye Group langu moja ... Rafiki mmoja akasema Wasikotishwa sana kumpoteza Mwanasheria wao alokua akiwasaidia kwenye mambo mbali mbali.Kuna mwenye ushahidi huyo dada amefariki?
Subiri povu.. wanakuja.. watwana!Kifo kama hiki ni uzembe wa Taifa na watu waliomzunguka
Toa info mkuu uspanicSina Info zaidi ya Info alizozitoa yeye binafsi.. Unataka nimsemee zaidi ...??.
Sent using Jamii Forums mobile app
Axa ungese yoba weweHewa haitoshi, yote hii??
Watu wengine hawaridhiki jamani.
Kha!Kha!,kivipi?,hebu fafanua mkuu.Kifo kama hiki ni uzembe wa Taifa na watu waliomzunguka
Si alikuwa hospotalini MKUU?!!!Mauti yamemkuta akiwa mkoa/wilaya gani?
Duh!!!,we jamaa muogope Mungu.Hewa haitoshi, yote hii??
Watu wengine hawaridhiki jamani.
Si ndio changamoto ya upumuaji mkuu.kwa hiyo maradhi yaliyopelekea umauti wake, ni hewa haitoshi mkuu?