Jaq Mrema: Ujumbe mzito alioaacha twitter kabla ya kifo chake

Tuendelee kukumbusha, ugonjwa upo na hauna dawa. Ukiupata, na kama una mushkeri kwenye afya unakwenda
 
Pamekuwa na tabia ya kuwatengenezea jumbe marehemu ionekane wamefariki kwa corona

Huu ni ujumbe wa pili sasa nauona

Yote hii baada ya rais kuwapiga knockout sasa mnakuja na hii ionekane rais ni mwongo corona bado ipo

Watu wa namna hii tunawaita wapumbavu
 
Pamekuwa na tabia ya kuwatengenezea jumbe marehemu ionekane wamefariki kwa corona

Huu ni ujumbe wa pili sasa nauona

Yote hii baada ya rais kuwapiga knockout sasa mnakuja na hii ionekane rais ni mwongo corona bado ipo

Watu wa namna hii tunawaita wapumbavu

Tuna kazi sana hii nchi kwa sasa, vijana tushakuwa brainwashed na siasa! Hatuwezi tena kusimama kwenye ukweli na uwazi
 
Tuna kazi sana hii nchi kwa sasa, vijana tushakuwa brainwashed na siasa! Hatuwezi tena kusimama kwenye ukweli na uwazi
Naishi mazingira ya kawaida, sioni hiyo corona mnayohubiri, hao watu wanakufa huko kwenu tu?
 
Pamekuwa na tabia ya kuwatengenezea jumbe marehemu ionekane wamefariki kwa corona

Huu ni ujumbe wa pili sasa nauona

Yote hii baada ya rais kuwapiga knockout sasa mnakuja na hii ionekane rais ni mwongo corona bado ipo

Watu wa namna hii tunawaita wapumbavu
Wewe
images%20-%202020-05-27T073654.437.jpeg
 
Kila Nafsi itaonja Umauti,Hakuna atakayebaki chini ya Jua,Tunapishana Muda tu,Apumzike kwa Amani Jaq Mrema.
 
Sasa kama alikuwa anajisikia hivyo akiwa bado mzima kwa nini hakwenda hospitali wamkarantine angalau asaidiwe, hapo najiuliza sana. RIP dada

Watu wanaogopa kwenda hospitali kwasababu:
  1. Ukifika hospitali unakuwa isolated na hupewi huduma yoyote.
  2. Madaktari na nurses wanakukimbia wakiogopa kuambukizwa Covid-19.
  3. Wanasubiri ukishakata roho wanasema umekufa kwa matatizo ya kupumua siyo Covid-19.
Serikali ya Jiwe imeshasema wameidhibiti Corona hivo watu wataendelea kufa kimyakimya....!
Mungu ibariki Tanzania!
 
Back
Top Bottom