Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,737
Nakubali mie UKAWA, lakini ni lazima tukubali kitendo cha nchi hii kukabidhiana madaraka kwa njia ya amani namna hii ni suala la kujivunia.
Hata kama wanaokabidhiana ni wezi wanakabidhiana kuendelea kutuibia kwa njia ya amani. Ujinga unabaki kwetu sisi wananchi. namkumbuka mbunge wangu wa Shinyanga wa zamani Leonard Derefa(RIP) akiwa madarakani, alisema achaguliwe ili nayeye AHONDOMOLE
Kuhondomola ni kuendelea kula uhondo. Ukiangalia nchi jirani za Uganda, Rwanda, Burundi na Kenya hata kule Congo DRC hawajaweza kukabidhiana namna hii. Hongera CCM kwa hilo. Si vyema kukalili visasi na chuki na hasira. Nasema hivi japo mnakabidhiana vijiti kwa amani na kuendelea kutuibia, mnajua kula na kipofu.
Hongereni kwa kuendelea kutu "KWATUA" kama JK alivyosema wajinga ni sisi ila manatukwatua kisha mnatupa ICE.
Hongereni. Hii nimeandika mwenyewe wala siajaibiwa Password.!!!!!
Ta Muganyizi.
Hata kama wanaokabidhiana ni wezi wanakabidhiana kuendelea kutuibia kwa njia ya amani. Ujinga unabaki kwetu sisi wananchi. namkumbuka mbunge wangu wa Shinyanga wa zamani Leonard Derefa(RIP) akiwa madarakani, alisema achaguliwe ili nayeye AHONDOMOLE
Kuhondomola ni kuendelea kula uhondo. Ukiangalia nchi jirani za Uganda, Rwanda, Burundi na Kenya hata kule Congo DRC hawajaweza kukabidhiana namna hii. Hongera CCM kwa hilo. Si vyema kukalili visasi na chuki na hasira. Nasema hivi japo mnakabidhiana vijiti kwa amani na kuendelea kutuibia, mnajua kula na kipofu.
Hongereni kwa kuendelea kutu "KWATUA" kama JK alivyosema wajinga ni sisi ila manatukwatua kisha mnatupa ICE.
Hongereni. Hii nimeandika mwenyewe wala siajaibiwa Password.!!!!!
Ta Muganyizi.