Kivipi mkuu. Huyu mzee hakua kitisho Sana kwa Urusi coz Ni yeye aliyejaribu Mara kadhaa kukutana na Putin kuxungumzia swala la wao Japan kurudishiwa occupied Sakhalin Island kutoka kwa Urusi.Hii ni habari njema kwa urusi
Leo hakua kitisho Tena
Kivipi mkuu. Huyu mzee hakua kitisho Sana kwa Urusi coz Ni yeye aliyejaribu Mara kadhaa kukutana na Putin kuxungumzia swala la wao Japan kurudishiwa occupied Sakhalin Island kutoka kwa Urusi.Hii ni habari njema kwa urusi
Umesomea wapi wewe ama nyarugusu polytechnic?!Kenedy ni rafk angu hata avatar yangu ni kaka yake huyo Roberts.. nimetumia zaidi ya miaka kumi kusoma mauaji yao
Ndio kaka hapo hapoUmesomea wapi wewe ama nyarugusu polytechnic?!
nenda kwenye youtube utaikutaMkuu nitumie pm au iweke hapa
Yule mwanajeshi mstaafu aliyempiga risasi amesema amechoka na wanasiasa.Kivipi mkuu. Huyu mzee hakua kitisho Sana kwa Urusi coz Ni yeye aliyejaribu Mara kadhaa kukutana na Putin kuxungumzia swala la wao Japan kurudishiwa occupied Sakhalin Island kutoka kwa Urusi.
Leo hakua kitisho Tena
Ugonjwa wa akili ni janga linalolitafuna taifa kuliko bei sembe ajabu serikali haichukui hatuo zozote dhidi janga ili.
Kwani mbwa ziko ngapi mkuuMbwa ipi jmn😁
Nadhani saadat tofauti na huyuHuyo kajitoa muhanga na lolote liwe, katika hali hiyo kumzibiti kiulinzi mtu wa aina hiyo ni kazi kubwa sana. Hii inanikumbusha jinsi alivyouawa Rais wa Misri Anwar Sadat alipokuwa uwanjani mbele ya walinzi wake.
Kweli aisee,si mzee Warioba na Mwinyi!.Kuna mstaafu wetu alikula vibao wakati akihutubia!
🤣🤣Kajaribu wewe huo udhubutu nani hapendi maisha yake.Dah wenzetu wana uthibutu kweli. Sie huku waoga kama vile hatutakufa🤣🤣🤣🤣🤣
Analimia meno huko alipo 😁Yule dogo sijui Yuko wapi kwa Sasa.
Duniani hata uweje kuna watu wanakutamani tu wakumalize.dawa ni kua nyang'au tuAmewakosea nini huyu jamaa muungwana
Naam USA imepoteza marais 4 waliouwawa kwa kupigwa risasi. Abraham Lincoln ambaye aliuawa mwaka 1865, James Garfield aliuawa mwaka 1881, William McKinley aliuawa mwaka 1901 na John F Kennedy aliuawa mwaka 1963.Hata Marekani Marais wengi tu wamewahi kuuuawa kuanzia Kwa akina Lincoln ,Kennedy na wengine wengi Hadi presidential candidates kama Robert Kennedy miaka ya 70