Japan: Waziri Mkuu wa zamani, Shinzo Abe afariki dunia baada ya kushambuliwa kwa risasi

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Shirika la Habari la NHK linaripoti kuwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe amekimbizwa Hospitalini baada ya kujeruhiwa kwa risasi mgongoni wakati akitoa hotuba katika Mji wa Nara.

Imeelezwa, Abe ambaye aliachia nafasi ya Uwaziri Mkuu mwaka 2020 kwasababu za kiafya alidondoka wakati akihutubia na alionekana akitoka damu.

UPDATE: SHINZO ABE AFARIKI DUNIA

Muda mfupi baada ya Ripoti za kupigwa risasi wakati akihutubia katika Kampeni, Shirika la NHK limeripoti kuwa Shinzo Abe ambaye ni Waziri Mkuu aliyehudumu kwa kipindi kirefu zaidi Nchini Japan amefariki dunia

Shambulio hilo dhidi ya Abe (67) limetokea katika Mji wa Nara, na inaripotiwa kuwa Mtuhumiwa ambaye ni Mwanaume aliye na miaka ya 40 amekamatwa

Abe alihudumu kama Waziri kati ya 2006 - 2007, na akaongoza tena katika nafasi hiyo kuanzia 2012 - 2020, aliachia madaraka kutokana na sababu za kiafya

1657272022031.png


1657271753967.png

=======

Former Japanese Prime Minister Shinzo Abe has collapsed after he was shot at an event in the city of Nara.

Mr Abe was shot from the back and collapsed halfway during his speech, and appeared to be bleeding, broadcaster NHK reported. His attacker is in custody, it added.

Ex-Tokyo governor Yoichi Masuzoe said in a tweet that Mr Abe was in a state of cardiopulmonary arrest.

The term is often used before a death is officially confirmed in Japan.

Mr Abe, who was Japan's longest-serving prime minister, stepped down in 2020 citing health reasons. He later revealed that he had suffered a relapse of ulcerative colitis, an intestinal disease.

========

Former Japanese leader Shinzo Abe, one of Japan's most influential politicians in modern times, has died after being shot at a campaign event, prompting shock and condemnation both in Japan and overseas.

A conservative nationalist by most descriptions, the 67-year-old remains the country's longest serving prime minister, having led the ruling Liberal Democratic Party to victory twice.

His first stint as PM was brief - for a little over a year starting in 2006 - and marred in scandal. But he made a political comeback in 2012, and stayed in power until 2020 when he resigned for health reasons.

Abe stepped down then after weeks of speculation, revealing that he had suffered a relapse of ulcerative colitis - the intestinal disease had led to his resignation in 2007.

But as the son of former foreign minister Shintaro Abe, and grandson of former Prime Minister Nobusuke Kishi, Abe belonged to political royalty and was still considered a powerful figure in Japanese politics.

He was known for his hawkish foreign policy and a signature economic strategy that popularly came to be known as "Abenomics".

Source: BBC
 
Sniper? Kwanini?

Hao waliojuuzuru huwa hawalindwi na state kama huku kwetu? Mpaka mtu kadondoka, anavuja damu mgongoni ndo wajue kapigwa chuma?

Ama walinzi wazembe au mfyatuaji akili nyingi!
Huyo kajitoa muhanga na lolote liwe, katika hali hiyo kumzibiti kiulinzi mtu wa aina hiyo ni kazi kubwa sana. Hii inanikumbusha jinsi alivyouawa Rais wa Misri Anwar Sadat alipokuwa uwanjani mbele ya walinzi wake.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom