bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,374
- 6,844
Soma historia vizuri utaona tu, usichukulie vitu at face value.Hii ni propaganda yako
Jifunze hata historia ya US kwenye uhusiano wao na South America, nchi za arabuni kama Iraq na Iran halaffu ndiyo useme ni propaganda yangu.
Si walimzushia Saddam kuwa ana weapons of mass destruction kumbe hana lo lote?
Soma soma soma na tena ujifunze mengi ya dunia.