Japan: Waziri Mkuu wa zamani, Shinzo Abe afariki dunia baada ya kushambuliwa kwa risasi

Huyo kajitoa muhanga na lolote liwe, katika hali hiyo kumzibiti kiulinzi mtu wa aina hiyo ni kazi kubwa sana. Hii inanikumbusha jinsi alivyouawa Rais wa Misri Anwar Sadat alipokuwa uwanjani mbele ya walinzi wake.
Hata Marekani Marais wengi tu wamewahi kuuuawa kuanzia Kwa akina Lincoln ,Kennedy na wengine wengi Hadi presidential candidates kama Robert Kennedy miaka ya 70
 
Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe amefariki dunia baada ya kupigwa risasi alipokuwa akihutubia kwenye kampeni za uchaguzi wa ubunge katika mji wa Nara nchini humo.

Abe (67) alipigwa risasi mara mbili ambapo moja imempata kifuani na nyingine mgongoni ambayo ilisababisha aanguke chini.

Waziri Mkuu wa sasa wa nchi hiyo, Fumio Kishida alisema mtuhumiwa alikamatwa baada ya kumpiga risasi Abe.

Abe, ambaye alikuwa waziri mkuu aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani nchini Japan, alijiuzulu mwaka 2020 akitoa sababu za kiafya.

Alirithiwa na mshirika wake wa karibu Yoshihide Suga, ambaye baadaye nafasi yake ilichukuliwa na Fumio Kishida.

risasi-pic-data.jpg
 
Japan imeendelea kiuchumi lakini udikteta umeendelea zaidi..
Watu wao hawana uhuru
Hii ni kawaida kwa Japan ukizingua unazinguliwa.
Watawala mnawakwaza sana walipa kodi wenye nchi…
Oy sikia huyu..
Demokrasia Japan Ni ya kutosha pengine kuliko nchi yoyote ya Mashariki ya mbali.
Hivi waafrika mkisikia demokrasia kwa akili zenu mnafikiria Ni utekelezaji was kila kitu mlichokisoma darasani form 2 na chuoni?
Freedom of mass media.
Movement freedom.
Free election.
Freedom to protest, strike nk.
Hivi vitu hata Marekani hakunaga.
Ukiwa mpiga kelele utabanwa tu! Snowden alikuwa mpigakelele Bora! Yuko wapi?
Assange alikuwa mpigakelele Bora Yuko wapi?
Hao wote wametoka katika nchi zenye kile kiitwacho demokrasi
 
Shirika la Habari la NHK linaripoti kuwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe amekimbizwa Hospitalini baada ya kujeruhiwa kwa risasi mgongoni wakati akitoa hotuba katika Mji wa Nara.

Imeelezwa, Abe ambaye aliachia nafasi ya Uwaziri Mkuu mwaka 2020 kwasababu za kiafya alidondoka wakati akihutubia na alionekana akitoka damu.

UPDATE: SHINZO ABE AFARIKI DUNIA

Muda mfupi baada ya Ripoti za kupigwa risasi wakati akihutubia katika Kampeni, Shirika la NHK limeripoti kuwa Shinzo Abe ambaye ni Waziri Mkuu aliyehudumu kwa kipindi kirefu zaidi Nchini Japan amefariki dunia

Shambulio hilo dhidi ya Abe (67) limetokea katika Mji wa Nara, na inaripotiwa kuwa Mtuhumiwa ambaye ni Mwanaume aliye na miaka ya 40 amekamatwa

Abe alihudumu kama Waziri kati ya 2006 - 2007, na akaongoza tena katika nafasi hiyo kuanzia 2012 - 2020, aliachia madaraka kutokana na sababu za kiafya

=======

Former Japanese Prime Minister Shinzo Abe has collapsed after he was shot at an event in the city of Nara.

Mr Abe was shot from the back and collapsed halfway during his speech, and appeared to be bleeding, broadcaster NHK reported. His attacker is in custody, it added.

Ex-Tokyo governor Yoichi Masuzoe said in a tweet that Mr Abe was in a state of cardiopulmonary arrest.

The term is often used before a death is officially confirmed in Japan.

Mr Abe, who was Japan's longest-serving prime minister, stepped down in 2020 citing health reasons. He later revealed that he had suffered a relapse of ulcerative colitis, an intestinal disease.

========

Former Japanese leader Shinzo Abe, one of Japan's most influential politicians in modern times, has died after being shot at a campaign event, prompting shock and condemnation both in Japan and overseas.

A conservative nationalist by most descriptions, the 67-year-old remains the country's longest serving prime minister, having led the ruling Liberal Democratic Party to victory twice.

His first stint as PM was brief - for a little over a year starting in 2006 - and marred in scandal. But he made a political comeback in 2012, and stayed in power until 2020 when he resigned for health reasons.

Abe stepped down then after weeks of speculation, revealing that he had suffered a relapse of ulcerative colitis - the intestinal disease had led to his resignation in 2007.

But as the son of former foreign minister Shintaro Abe, and grandson of former Prime Minister Nobusuke Kishi, Abe belonged to political royalty and was still considered a powerful figure in Japanese politics.

He was known for his hawkish foreign policy and a signature economic strategy that popularly came to be known as "Abenomics".

Source: BBC
Viongozi wastaafu wanalipwa na serikali kwa gharama ya walipa kodi lakini bado wapo majukwaani kila leo. Kanda ya ziwa wazanaki wana methali 'nyangarukira yariri Murongo'. Rip Abe.
 
Back
Top Bottom