The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Sijui hii imekuwa culture kwa baadhi ya watu au vipi
utasikia ahhhh january bana ngumu sana
wengine watakwambia shauri ya ada za watoto
wengine watakwambia sijui hili na hli
yaani mtu moja mmoja mpaka makampuni pia...
kama kuna tenda unafuatilia utasikia ahh january aisee..
na hata ambao hawana watoto wa kusomesha january kwao ni hivyo hivyo
swali nalojiuliza ni hili
kwa nini january ndo mwezi unaolalamikiwa zaidi financially while
kila mtu anajua kuwa january itakuwaje kila mwaka?
na je watu wanavyo spend december mpaka kuzidisha matumizi ni haki kulalamika january?..
je wewe january kwako ni tofauti???????????
utasikia ahhhh january bana ngumu sana
wengine watakwambia shauri ya ada za watoto
wengine watakwambia sijui hili na hli
yaani mtu moja mmoja mpaka makampuni pia...
kama kuna tenda unafuatilia utasikia ahh january aisee..
na hata ambao hawana watoto wa kusomesha january kwao ni hivyo hivyo
swali nalojiuliza ni hili
kwa nini january ndo mwezi unaolalamikiwa zaidi financially while
kila mtu anajua kuwa january itakuwaje kila mwaka?
na je watu wanavyo spend december mpaka kuzidisha matumizi ni haki kulalamika january?..
je wewe january kwako ni tofauti???????????