January.....na kelele za kila mwaka..

lol me nadhan hapa baada ya kutumbua hela december kwa mavocation, spendin za ajab na lkiizo izo lazima january ionekana ngumu.
but ukijipanga ukawa ndan ya ratiba. huu mwez mbona hauwi dume tena utakuwa jike.
 
January kwangu iko tofauti sana. Hapa nilipo nasubiri kujikamatia kitika changu cha dola 9,000 za Kimarekani. Mambo ya tax return hayo. IRS imeanza kupokea returns jana tarehe 17 na mimi nime file returns zangu jana hiyo hiyo.

Tarehe 27 ndo watazitumbukiza hela kwenye akaunti yangu! Halafu pia kuna state returns. Dola 1700 zitatumbukizwa kwenye akaunti yangu Ijumaa hii, tarehe 20.

Kwa hiyo Januari kwangu ni mwezi wa neema sana.

Same here, January ni kujiandikisha ukajua ngapi zinarudi, Febuary full kula bata. Unaingiziwa kitita hicho ambacho ulikuwa hujakipangia mahesabu! ...I love January
 
Back
Top Bottom