January Makamba usitumie nguvu kukataza Mkaa. Bei ya Gesi ndio itaamua Matumizi

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Aug 23, 2015
3,264
7,404
Waziri Makamba mie nakuomba sana huu mtego wa kulazimisha matumizi ya Gesi ya kupikia wakati hata sio Raslimali ya nchi yetu yaani inaletwa kutoka nje ni hatari sana kwa Ustawi na Usalama wa Taifa letu.

Ingekuwa hiyo gesi tunachimba wenyewe na tungeweka hata bei ya chini sana ambayo ingewafanya watumiaji wa mkaa waache wenyewe, lakini gesi hii hatuchimbi sisi, tena ipo chini ya mfanyabiashara fisadi mkubwa huoni unatuuza sisi Watanzania?

Mtungi wa kilo sita ni Tsh. 25,000, unafkiri watanzania wana hiyo hela ya kulipia gesi kwa mkupuo? hata hao wanaoweka sjui mita eti ukilipa mfano buku unatumia gesi ya buku, nani atavumilia gesi inakata ghafla mtu hajamaliza kupika?

Je, Bumbuli hawapikagi Maharage huko? wataweza kutumia gesi kupika maharage kwa bei hizo?

Unakataza mkaa halafu baadae gesi ije fika elfu 50 ndipo utakapowajua watanzania ni watu wa aina gani!

Je, baraka hizi za kifisadi na kuhatarisha usalama wetu kiuchumi anaubariki nani? ni RAIS au? daaaah mtuonee huruma jamani.
 
Waziri Makamba mie nakuomba sana huu mtego wa kulazimisha matumizi ya Gesi ya kupikia wakati hata sio Raslimali ya nchi yetu yaani inaletwa kutoka nje ni hatari sana kwa Ustawi na Usalama wa Taifa letu:

ingekuwa hiyo gesi tunachimba wenyewe na tungeweka hata bei ya chini sana ambayo ingewafanya watumiaji wa mkaa waache wenyewe, lakini gesi hii hatuchimbi sisi! tena ipo chini ya mfanyabiashara fisadi mkubwa! huoni unatuuza sisi Watanzania?

mtungi wa kilo sita ni 25,000 je unafkiri watanzania wana hiyo ela ya kulipia gesi kwa mkupuo! hata hao wanaoweka sjui mita eti ukilipa mfano buku unatumia gesi ya buku je nani atavumilia gesi inakata ghafla mtu hajamaliza kupika?

je Bumbuli hawapikagi Maharage huko? wataweza kutumia gesi kupika maharage kwa bei hizo?

unakataza mkaa halafu baadae gesi ije fika elfu 50 ndipo utakapowajua watanzania ni watu wa aina gani!

Je baraka hizi za kifisadi na kuhatarisha usalama wetu kiuchumi anaubariki nani!? ni RAIS au? daaaah mtuonee huruma jamani
Wanataka tue tunakula dagaa kila siku nani apike maharage Kwa gesi
 
Acha tu makamba afanye anavyotaka,hili linchi limejaa mazombi na mapumbavu,kila siku yanapigwa,kazi ni kusifia tu,yamekubali kugawanyw,nayo yakagawanyika,acha tupigwe bei,majinga makubwa,mtamkumbuka jpm,
Huyu dikteta siwezi kumkumbuka lakini hii combination ya Makmaba, Mwigulu, Nape, Ummy, Aweso, Bashe, Mbarawa, Jafo ni hatari sn kwa ustawi wa nchi
 
Waziri Makamba mie nakuomba sana huu mtego wa kulazimisha matumizi ya Gesi ya kupikia wakati hata sio Raslimali ya nchi yetu yaani inaletwa kutoka nje ni hatari sana kwa Ustawi na Usalama wa Taifa letu.

Ingekuwa hiyo gesi tunachimba wenyewe na tungeweka hata bei ya chini sana ambayo ingewafanya watumiaji wa mkaa waache wenyewe, lakini gesi hii hatuchimbi sisi, tena ipo chini ya mfanyabiashara fisadi mkubwa huoni unatuuza sisi Watanzania?

Mtungi wa kilo sita ni Tsh. 25,000, unafkiri watanzania wana hiyo hela ya kulipia gesi kwa mkupuo? hata hao wanaoweka sjui mita eti ukilipa mfano buku unatumia gesi ya buku, nani atavumilia gesi inakata ghafla mtu hajamaliza kupika?

Je, Bumbuli hawapikagi Maharage huko? wataweza kutumia gesi kupika maharage kwa bei hizo?

Unakataza mkaa halafu baadae gesi ije fika elfu 50 ndipo utakapowajua watanzania ni watu wa aina gani!

Je, baraka hizi za kifisadi na kuhatarisha usalama wetu kiuchumi anaubariki nani? ni RAIS au? daaaah mtuonee huruma jamani.
Wanakosa strategy nzuri yeye wa Nishati,Afya, Waziri wa Mazingira, Maliasili na WA Madini Kila Wizara inajiendea kivyake na kinyemela..

Nchi hii Ina watu wasiojielewa kabisa,hili ni jambo mtambuka linatakiwa kushughulikiwa Kwa pamoja na Kwa sera.
 
 
Back
Top Bottom