January Makamba hawezi kufanya propaganda mbele ya Rais Samia. Huu ni wakati wa vitendo, January chapa kazi

Achape Kazi apuuze makelele ya watu wanaomuona kama threat kwenye Urais baada ya mama
 
Ameshusha kuaminiwa.ila kwa kuwa chief hangaya analipa fadhila ndo maana karudi.
Huyo hakutakiwa kurudi hata kuwa mjumbe wa nyumba 10.
Ushamba ni kitu kibaya hovyo kuingilia mazungumzo ya watu yasiyo na maslah kwa taifa afu unapublish huu n uzumbukuku
 
Wachaaaaaaaaa.

Mbona kaingia tu tanesco katumbua kila mtu?
 
Hiyo mifuko ya plastiki aliiondoa baada ya kushinikwa za Rais kupitia waziri mkuu, yeye alikuwa ni propaganda za kukutana na wadau wa viwanda miaka nenda rudi

 

Watu wengi walikuwa wanajua na tayari walishajionea madhara ya mifuko ya plastiki, hivyo Katazo lilipotoka ilikuwa rahisi watu kutii. Inawezekana kweli watu walikuwa wanamuogopa Magufuli, sio kwa uimara ila ni kutokana na roho mbaya yake na ulevi wa madaraka. Lakini ukweli unabaki kuwa mifuko ya plastiki ilikuwa kero ya dhahiri. Usishanganye uimara wa serikali na roho mbaya ya mkuu wa serikali.
 
Hakuna maintanance kakufanganya nani, ukweli ni kwamba kuna mgao , hakuna cha maintanance
 
Sio kweli utakua umehadisiwa
 
Mwalimu scenario nayo unaiandika "sinario"..
Kwahiyo wewe suala la UTII ni mpaka Mheshimiwa Rais akufundishe?

Very interesting.
 
Mleta mada katandike kitanda kisha uuoshe vizuri bosi wako makamba anakuja kukufariji usiku wa leo.
 
Sio kweli utakua umehadisiwa
Makamba ana mengi watu wanayajua nje na ndani ya uongozi, usiombe siku ikafika watu wakafunguka. Nadhani wanasubiri ajichanganye kwenye kugombea uraisi watu washushe nondo hasa lile ile issue yake ya kupa............wa
 
We hujatumwa kumchafua
Niko kijijini huku siko hapo town. Umeme kipindi cha mwendazake ilikuwa ni nadra kukatika. Toka aingizwe huyu makambo tunaenda wiki ya 3 sasa. Imekuwa nchi moja ya ajabu. Umeme kila siku unakatwa saa 1 asubuhi. Wanarudisha saa 1 jioni.

Kwa hiyo mimi sijatumwa ila nafasi tu ya huyo aliekutuma ndio hiyo inajieleza kiutendaji. Na hii ni hujuma tu anaifanya huyo makambo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…