Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki

kule vijijini wanapopika vyakula kama mahindi,wali , viazi wanafunika kwa kutumia mifuko ya plastic- hatari zaidi ya kupata kansa,,kule kwa mama ntilie mifuko ya plastic inatumika kuhifadhi joto kwenye vyakula kama ugali, pia mara nyingi vyakula vya moto vinabebewa kwenye mifuko hii- chipsi kwa wadada,,kiujumla hatuko salama
 
 
 
Tutamkumbuka Rais JPM kwa maamuzi magumu aliyoyafanya kwa ajili ya kulinda mazingira. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi
 
Vifungashio vya nyanya na njegere vimeanza kutumika kama vibebeo, hatua zichukuliwe, maana mifuko ya plastiki ndio inarudi sasa kwa mlango wa nyuma
 
Baada ya vibebeo vya plastiki kupigwa marafuku, ni muda sasa wa kuangazia vifungashio vya plastiki, navyo viondoke!
 
Naona vifungashio vya nailoni vimeanza kuwa tatizo kubwa kama ilivyokuwa vibebeo vya plastiki
 
 
Back
Top Bottom