Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,215
CCM imeshindwa inatakiwa kung'olewa madarakani
We hujatumwa kumchafuaOvyo kabisa. Amewatuma kujisafisha. Huyu mtu ni mbinafsi anafikiria mambo yake tu yajayo. Juzi tu amepewa wizara ya nishati,tunaona madhara yake. Mwendazake nilimuelewa sana kumpiga pembeni huyu mtu. Huyu toka kitambo simkubali. Ni miongoni mwa waroho wa madaraka. Hayuko kwa ajili ya wengi
Hawafai hata kusimamia ujumbe wa nyumba 10CCM imeshindwa inatakiwa kung'olewa madarakani
CCM haiwezi kutoka madarakani hama ncCCM imeshindwa inatakiwa kung'olewa madarakani
Kalemani alikua anatupigaTakwimu za vijiji kuunganishwa na umeme haina maana yoyote kama ni wanakijiji wawili au watatu wana umeme. Achana na vijiji, watu wangapi nchini huko vijijini wana umeme?
Hakuna mtu mwenye akili timamu aanze kumchafua Makamba.We hujatumwa kumchafua
Utahama wewe mnyarwandaCCM haiwezi kutoka madarakani hama nc
Kalemani alikua anatupiga
Watu wenye akili zako ndiyo mnao likwamisha taifa kupiga hatua kimaendeleoKuwa na shukrani CCM imekuzaa ww
Na bado
Ila pesa za January zinaliwa kizembe Sana. Hawa vijana wa kufanya spinning hamna kitu. Aajiri wengine
Acha uongoMifuko ya plastic ni nguvu ya JPM, wananchi walikuwa wanamuogopa na kumlaumu JPM
Enzi zile kiongozi yoyote akitoa agizo Raia wanatekeleza!
Serikali ile ilikuwa imara!
Mimi ninayeandika ni mwalimu, nakumbuka kabla ya JPM tulikuwa tunawadharau waalimu wakuu, lakini huwezi amini, ndani ya utawala wa JPM sisi waalimu tuliwatii Sana waalimu wakuu
Sinario Kama hii ndio inayojitokeza huko tanesco, wafanyakazi wameacha uwajibikaji
Kama anakuwa muongo Bado hajachafuka?Kwani amechafuka
Hata kama huna masikio hata kuona huwezi?Nani kakwambia taifa limekwama
Promo ya kindezi kweli kweliMifuko ya plastic nchi hii iliondolewa bila hata Mende kuguswa kitu ambacho mwendazake na serikali nzima hawakuamini. Wananchi wa Tanzania walistaajabu uwezo na akili yake na mikakati yake kufanikisha suala la mifuko bila kutumia polisi wala vyombo vingine vya Usalama. Kila moja anakumbuka wivu wa mwendazake kuwapelekea kumtoa kwenye cabinet hata hivyo hakulamba miguu.
Baada ya Rais Samia kushika madaraka na kufanya ministry audit alikua kugundua wizara ya nishat inamakando kando mengi ndio maana Waziri aliyekuwepo wakati wote alikua anatetemeka akikutana na Rais Samia.
Sasa kwa mtu makini kama Rais Samia na askari wake January Makamba watu wanaoamini katika utaalamu na suluhisho la uhakika wasingeweza kufanya mambo ya siasa kwenye mambo muhimu kama ya umeme. 5 Years hakuna maintenance, hakuna unategemea nini katika nchi kubwa kama hii.
Whether imeagizwa warekebishe mitambo ili kuzuia mitambo hio kuharibika au ni ishu ya maji kupungua bado sina mashaka na watu hawa.
LimekwamaChapa kazi na kazi iendelee taifa hili haliwezi kukwama