Kachota zaidi ya billion 500 kanunua nyumba za kutosha dubai huku nyumba moja ikiwa na thamani ya billion 25Jina lake limekatwa huko Bumbuli.
Aanze kula pensheni yake aliyoichota akiwa Waziri wa Umeme
Sema inaelekea alipiga pesa ndefu. Sista ake anaruka first class tu.Jina lake limekatwa huko Bumbuli.
Aanze kula pensheni yake aliyoichota akiwa Waziri wa Umeme
Atarudi KivingineJina lake limekatwa huko Bumbuli.
Aanze kula pensheni yake aliyoichota akiwa Waziri wa Umeme
Pale pana kamati maalum iliundwa yaani Special Task Force.ooohooo
uchawi haupo
NEpi je kapita?Byabyato kaliwa kichwa... dhambi ya Nape bado inamla
Kigogo ananoa Panga sasahivi,makali yanarudi
AiseeHana ujanja nje ya JK, JK ndio upper hand yake, akimbwaga hana ujanja.
ndani ya mitaa ya Khost-Afghanistan.
Nepi imepita tenaNEpi je kapita?
Jamaa ana hela ndefu hiyo penshen is a drop in the sea.Jina lake limekatwa huko Bumbuli.
Aanze kula pensheni yake aliyoichota akiwa Waziri wa Umeme
Kuna kitu labda alimkosea JKHana ujanja nje ya JK, JK ndio upper hand yake, akimbwaga hana ujanja.
ndani ya mitaa ya Khost-Afghanistan.
hivi unadhani bilion 500 ni kama laki tano?Kachota zaidi ya billion 500 kanunua nyumba za kutosha dubai huku nyumba moja ikiwa na thamani ya billion 25
mtumba babu kikofia ndo nani? Mrema nini?Na hata mtumba (babu kikofia) alijulishwa ndo maana kanyamaza.