Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Daaa hii issue ya sukari ndio shida hasa vijijini ambak kipato ni duni sanaUchumi ni kweli unayumba!! Jitihada zisipofanyika tutashindwa kurudi kwenye mstari.
Daaa hii issue ya sukari ndio shida hasa vijijini ambak kipato ni duni sanaUchumi ni kweli unayumba!! Jitihada zisipofanyika tutashindwa kurudi kwenye mstari.
Nasikia wateja nao wamesha sepa wako beira kwa sasa, mtajuta sana mwaka huuhilo tumezuia kabisaa,
Atalaaniwa maisha huyo jamaasio sheni sema jecha
mkuu hiyo bei ya 1800 ni ya wapi ? mimi ni mikoani ni miaka kumi sasa sukari haijwahi kuwa below 2400 kgHuku mitaani kuna hali mbaya sana mfumuko wa bei umeshika namba ile sukari tulioaminishwa kwamba itauzwa 1800 kwa sasa naona inazidi kukwea mnazi tu ni 2300+
haswaa, maana ile bei ya mizengo pinda iliishia bungeni tu.kuna vitu vikipanda bei huwa havishuki kamwe kimoja wapo ni sukari
Hapo sasaHuku mitaani kuna hali mbaya sana mfumuko wa bei umeshika namba ile sukari tulioaminishwa kwamba itauzwa 1800 kwa sasa naona inazidi kukwea mnazi tu ni 2300+
haswaa, haiwezekani mtu ule mchicha kila sikumchicha una vitamin,dagaa protein so hawakwepeki kwa sisi walala hoi nyama hatuiwezi
madhara ya dagaa ni kwa wanaume wa darKuleni michicha jamani,dagaa si nzuri sana kwa afya
Hakuna kitu kinachoitwa financial circulation. Currency in circulation(cc)sina hakika na hili ila ninachokiona mimi ni MZUNGUKO WA PESA UMEPUNGUA ie. Financial Circulation
Sa hivi sio kontena, zinaibiwa meli nzima nzimakontena hazipotei tena bandarini.
.. inawezekana katumwa? Ila kila mtu ni shuhuda wa hali halisi ya inflation & mzunguko duni wa fedha, ambayo kwa vyovyote hatimaye itaathiri hata mapato, n.k.swali,je ni kweli kuna mtikisiko wa uchumi?
BOT na hazina mbona hawajawahi kuliongelea hili
Rais mwenyewe sjawahi kusikia akiliongelea hili