Mzunguko wa pesa umepotea kwa mafisadi..Ni kweli lazima tupitie kwenye wakati mgumu sana kipindi hiki cha mwaka mzima au hata miwili! Suala la Zbar na mizigo kupungua, mzunguko wa pesa umepotea mijini nchi inakuwa kwenye mkwamo wa kudodorola kwa uchumi! Kosa letu hatukubali kuwa tuna koloni letu ambalo ndio limetufikisha hapa tulipo! Tunaogopa kivuli chetu na kubakia kukimbilia kwenye kufunga mikanda!
kwani unaelewaje unaposikia neno mtikisiko wa uchumi?sina hakika na hili ila ninachokiona mimi ni MZUNGUKO WA PESA UMEPUNGUA ie. Financial Circulation
Sio kwamba container hazipotei, haziji kabisa, Beira na Mombasa ndiyo njia. HAPA KAZI TUkontena hazipotei tena bandarini.
Mbona tayari umekuwa namba 1 kuchangia kwenye hii threadSitaki kuwa wa kwanza kukomenti uzi huu.
Ni money circulation na sio financial circulation mkuusina hakika na hili ila ninachokiona mimi ni MZUNGUKO WA PESA UMEPUNGUA ie. Financial Circulation
Hahahahaha, nao wanadai risitilabda nao wanalipa kodi huko majini