mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,102
- 36,079
- Thread starter
- #41
kila mtu anaona hali ilivyombaya huku mitaani lakini jamaa wa TRA kila mwezi wanadai wamekusanya matrilioni ila hatuoni nafuu ya maisha.. inawezekana katumwa? Ila kila mtu ni shuhuda wa hali halisi ya inflation & mzunguko duni wa fedha, ambayo kwa vyovyote hatimaye itaathiri hata mapato, n.k.