Viongozi ni weupe vichwani na wanajitahd sana kuwaroga watz,Hata mimi sikuamini mpaka nilivyosikiliza video. Hii nchi tumerogwa sio bure kama viongozi ndio hawa
Kaz yetu kubwa ni kupasua matunguli Yao na kuwafungua watz waliofungwa. Amen
Viongozi ni weupe vichwani na wanajitahd sana kuwaroga watz,Hata mimi sikuamini mpaka nilivyosikiliza video. Hii nchi tumerogwa sio bure kama viongozi ndio hawa
Anabebwa na mbeleko ya babake..ila wote ni empty head.Huyu ndio maana JPM alimtia kapuni analazimisha tu siasa ila sio mwanasiasa
Leo Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu wanaohoji kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP ni upuuzi tu na kama hawaamini majibu yake basi wamuue.
"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba
Chanzo: Wasafi Media
Kiburi cha kuwekwa na JK na RostamKama anahisi anaonewa ajiuzulu tu. Kwa nini ukubali kuuliwa kama huna maslahi ya binafsi na huo Mradi? Pumb..vu
Binafsi hiyo sauti nasikia ka shoga, simwelewi elewiHuyu dogo ni shogger nini
Haaaa haaaa mwizi wa paper .utamlinganisha na kijana Bashe, anachapa kazi na kiwaheshimu wananchi acha huyu janja janjaWaziri Makamba namkubali sana kwa utendaji, sina mashaka nae, ni waziri mbunifu, makini na mchapa kazi.
Sasa Jambo la msingi ni kwa watendaji wote wa Tanesco, vhapeni kazi kwa masilahi ya watanzania, acheni majungu.
Katika watanzania huru kifikra na wewe ni mmoja wapo, anahojiwa waziri mkuu uingereza na kuwajibika sembuse huyu kambakamba wa huko machakani mbumbumbuli!Makamba hauaminiki kwa sababu una majibu yasiyojitosheleza na yanayochelewa kuja kwa wakati, na mara nyingine hauna consistence kwenye majibu yako.
Leo unasema hivi, ukipingwa unabadilika kesho unasema tofauti about same thing, ni kama unaangalia uchochoro wa kujifichia kwenye majibu yako, ndio maana huaminiki.
Mfano.
1. Kuhusu ile crane ya tani 26 uliyoagiza toka nje, ukaambiwa mbona hata hapa Tanzania zipo crane zenye uzito huo? ukasema inatakiwa isiyohamishika, ok fine, mpaka leo hiyo isiyohamishika iko wapi?
2. Au kuhusu tatizo la umeme lililowahi kuwepo, ukatutangazia mgao wako nchi nzima kwa kisingizio awamu iliyopita mitambo ilikuwa haifanyiwi service, then after ukadai mgao utasahaulika, lakini wapi, mgao bado upo mpaka juzi tumetangaziwa mwingine.
Baadae ulivyoona mambo sio ukabadilika, mkatangaza sababu ya mgao wa umeme ni ukame, ghafla akatokea mtendaji bwawa la Nyumba ya Mungu akasema maji yaliyopo kule yanatosha kuwasha umeme kwa muda mrefu ujao, Makamba kimya...
Halafu hii tabia yako ya kukimbilia kuwaona wanaokuhoji ni maadui, ndio itakumaliza kabisa, usijione special usiyehojika, you are not, hicho cheo chako ni cha umma, wewe sio CEO wa private company.
Mwanzo ukihojiwa ulisema tatizo ni uwaziri wako, kama vile wewe ndie waziri wa Nishati pekee uliyewahi kutokea nchi hii.
Leo unawaambia wanaokuhoji wakuue, hii maana yake unakimbia majukumu yako, unajiona unaonewa unapoulizwa kuhusu yale yanayoihusu wizara yako, sasa kama hutaki kuulizwa wewe unataka aulizwe nani?
Anyway, tatizo ni la yule aliyekuweka hapo, amekudekeza matokeo yake unajiona kama "mtoto wa mama usiegusika", sasa kwa huu utoto wako, mtachafuka wote.
Huyu dogo angenyamaza achape kazi watu waone matokeo, vijembe alivyorithishwa na baba yake si kipaumbele cha watanzania"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba
Hii inaonyesha kibri na kujiamini kulikopitiliza! Ni kama vile anasema ....Ule utoto wa neno "njooni mniue" huku kwenye social media, ndio bila aibu waziri mzima anatumia kwenye majukwaa rasmi?!
Majiko ya umeme ni way of the past. But nakubaliana na wewe kwenye kupunguza gharamaHilo bwawa lingeisha bei ya umeme ingepungua pia na hao watu huko kijijini ulikopeleka majiko ya gesi wangetumia majiko ya umeme. Weee nini bwana unatuon a sisi mazuzu malizia mradi weee shubamiti
Hii inaonyesha kibri na kujiamini kulikopitiliza! Ni kama vile anasema ....
Kwamba vyovyote iwavyo hapo yupo na hakuna wa kumchomoa!