kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,426
- 7,213
Hawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa Mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia Januari Makamba tu.
Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la Nyerere ndio Januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe Januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.
Salma Kikwete nae kasifu Januari Makamba hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu Januari na Maharage Chande.
Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.
Povu ruksa.
Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la Nyerere ndio Januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe Januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.
Salma Kikwete nae kasifu Januari Makamba hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu Januari na Maharage Chande.
Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.
Povu ruksa.