Januari Makamba adai CCM wataimaliza CHADEMA

Januari Makamba adai CCM wataimaliza CHADEMA

hata cheo alichopewa ni kwa vile tu ni mtoto wa yusufu makamba , hana uwezo , kama kuna anayejua UWEZO ALIONAO JANUARY HADI KUPELEKEA KUJAZIWA MIJIVYEO atujulishe humu jf , uwezo hana bali anabebwa na mfumo tu .

Hivi mbona we ni sloopy sana,hakuna mtu mweka akili smart kwa vijana kama huyo,ww una bwabwaja tu,siasa yenyewe umeijua juzi ulipomaliza form four
 

Waalimu wako ndio walikufunza uandike hati kama hizi? Wepesi wa huyu dogo ulidhihirika kitambo pale alipoiba mitihani akiwa Galanos haya nenda kanywe uji!
Hapo patamu historia ya baba na mwana!! baba alifukuzwa kazi ya uteacher kwa kumbaka mwanafunzi na kumpiga mimba. Mtoto kibaka wa mitihani kwa kusaidiana na baba!! kaaz kwel kwel!! Lichama la mazuzu!!
 
Subiri 2015 ndio uje kuniuliza tena hilo swali.
2015 , tunaenda kuitoa ccm madarakani , wenzio wameyajua haya mapema , ndiyo maana wameamua kula hela ya chama kwa kujitengezea vijiziara uchwara , eti kuimarisha chama , lichama limekongoroka unaimarisha nini? hiyo lumumba inayowapa hizo posho mnazopiga nazo kelele humu ni kati ya majengo ya mwanzo kabisa mtakayonyang'anywa ili kuwarudishia wenyewe wananchi , shauri yako !
 
Hata hao vijana waliokuwa wanamsikiliza nina mashaka na ufahamu wao,hakuna hata aliyemuuliza swali kwamba nini maana ya democrasia,au baba yake ndivyo alivyokuwa anamsimulia story kabla ya kulala kuwa CCM kazi yao ni kuua upinzani......najisikia aibu kuongozwa na mtu kama huyo.
 
CCM IMARA ITAJENGWA NA CHADEMA Imara. Obama alipoingia madarakani alisema "nitawapenda maadui zangu kuliko marafiki zangu maana wao hunionyesha mabaya yangu ili nifanye vizuri zaidi" vyama vya siasa vijifunze kuliko kupeana hukumu. Hakuna chama kitadumu madarakani milele hata TANU Ilipita tu.
 
Kama ndivyo ilivyo basi ameudhihirishia umma kuwa yeye si mzima kichwani, elimu yake na maisha ya jamii ni vitu viwili tofauti, uelewa wake juu ya siasa safi na demokrasia ya kweli ni ndogo sana, msadili na utu wa mwanadamu kwake hauna nafasi, ufisadi, nguvu na uonevu ndo tegemeo la viongozi wa tz hasa watawala lakini akumbuke kauli hii; " UNAPOMNYANYASA MNYONGE HUMFUNDISHI WOGA BALI UNAMFUNDISHA MBINU MPYA YA KUJITETEA" Nelson Mandela. Hivyo mwisho wake unakujaa hata kama si leo.
 
Kama tu anaweza kumuuza dadaye kwa njemba ili asaidiwe vijipesa vya kuhonga wapiga kura unategemea nini? ni kilaza tu kama wengine walijazana lumumba fc
 
Lazima vyama vya upinzani viimarishe kwanza demokrasia ili viweze kuaminiwa na wananchi. Kwa hali iliyoko sasa ya kugombana mtasubiri sana
 
Akiongea na vinaja wa CCM wa umoja sijui wa vyuo vikuu.Dongo kaanza na misemo maarufu ya mwalimu..Eti wana mbinu, wana nia ya kushinda.Na thisi time eti wataishinda na kuimaliza CHADEMA km NCCR..Dogo anakiri kuwa waliiua NCCR.na wana Nia na CHADEMA..Ila anasahau kuwa hata kam kweli wangekuwa wanaweza si kauli ya mtu anayejua democrasia.Wao kuua wengine ndio kushindana.

Namhurumia sana dogo ,kaona maigizo yao bado yanamdanganya kuamini kuwa CHADEMA ipo ktk hali ngumu.

Unamwita Dogo kwani ana umri gani huyo babu mwenye sura ya maiti?
 
Ebu ngoja na mimi niingie CCM nione kama akili zangu zitapungua au vipi!
Maana hii trend ya wasomi wa CCM ni kitu cha ajabu sana. Nahisi unaweza toka na PhD thesis paper kabisa maswala ya behavioral change.
 
Ameanza kupiga domo kama mdingi wake, msameheni bure ameanza kujisahau
 
Kama tu anaweza kumuuza dadaye kwa njemba ili asaidiwe vijipesa vya kuhonga wapiga kura unategemea nini? ni kilaza tu kama wengine walijazana lumumba fc

Unamzungumzia dada ake tundu lissu,au dada ake lema,au dada ake mbowe
 
Wanatapa tapa hawana lolote!kuua cdm nipale wanapo haki kwa wananchi.
 
.......Na thisi time eti wataishinda na kuimaliza CHADEMA km NCCR..Dogo anakiri kuwa waliiua NCCR.na wana Nia na CHADEMA..Ila anasahau kuwa hata kam kweli wangekuwa wanaweza si kauli ya mtu anayejua democrasia.Wao kuua wengine ndio kushindana......

Mwelezeni hivi

Watu wanasahau kuwa Chadema ina miaka karibu ishirini sasa ...na ilishuhudia hujuma zote zilizofanywa kwa vyama vingine, ambavyo vilikuwa na nguvu kutokana na umaarufu wa Viongozi wake. Ukiwa na kiongozi maarufu kuliko nia ya chama kuwasaidia wananchi, ni rahisi sana kukihujumu chama hicho. Maana wananchi wanakuwa hawaelewi nia ya chama kwao bali wanaelewa umaarufu wa kiongozi. Umaarufu wa kiongozi ukipotea na chama kinapotea kwa wananchi. Nia ya chama siyo rahisi kuipoteza ikishakuwa maarufu na kujulikana sawia kwa wananchi.

Hili Chadema waliliona mapema wakaweka msingi imara wa kufuata miiko ya uongozi wa chama kwa kutumia katiba ya chama na taratibu nyingine za chama. Vyote hivi vinaheshimiwa ndani ya chama, na vinasaidia sana kuipa NIA ya Chadema ya kuwaletea wananchi maendeleo kwa kufuata misingi ya kidemokrasia umaarufu hivyo kutambulika kwa wananchi kirahisi.

Kosa la kiongozi kuwa maarufu kuliko nia ya chama liliwapata NCCR-Mageuzi,kwa Mrema kuwa maarufu na kutumia umaarufu huo kukiua chama, hata alipoenda TLP... kinachojulikana sasa ni Mrema zaidi ya nia ya Chama cha TLP kwa wananchi. Kutokana na hilo pale TLP wala hakuna hata dhamira thabiti ya kuchukua dola. Nia ya TLP siyo maarufu kwa wananchi kwa namna kinavyoendeshwa hivyo si rahisi kupewa dola.

CUF...ilikumbwa na hilo pia Maalim Seif na Prof. Lipumba wamekuwa maarufu kuliko chama na hili limefanya umaaruf wao uipoteze CUF kwenye siasa za ushinda kuchukua dola. Mnajua kilichotokea Zanzibar 2010....Lipumba aliyasema yote kwenye ile video aliyorekodiwa Msikini Dar es Salaam. Nia ya CUF siyo maarufu kwa wananchi, Pale maarufu, ni Maalim Seif na Lipumba, na Hamadi Rashid alitaka kuleta mabadiliko ya kuondoa umaarufu wa viongozi pale CUF (sina hakika kama alitaka kujenga umaarufu wa nia ya CUF kwa wananchi ama la) kilichompata sote tunakijua.

Chadema waliamua kujifunza kutokana na makosa ya wenzao vizuri sana, ndiyo maana...hakuna mtu kuwa maarufu kuliko nia ya chama ya kuwaletea wananchi maendeleo kwa njia ya kidemokrasia. Nia hii ya chama ndiyo iliyo maarufu pale Chadema. Na ni kwa umaarufu wa nia Chadema kwa wananchi...watanzania wengi wanakiunga mkono chama hicho japo wengine wanakiunga mkono kwa kujificha.

huyo kada wa Chama chake
 
hivi makamba family ina akili vizuri?? je kuna mtu wa makamba ambaye yuko fiti kichwani??? yupi MM wa vodha au JM au YM??? hakuna
 
Back
Top Bottom