Januari Makamba adai CCM wataimaliza CHADEMA

Januari Makamba adai CCM wataimaliza CHADEMA

Akiongea na vinaja wa CCM wa umoja sijui wa vyuo vikuu.Dongo kaanza na misemo maarufu ya mwalimu..Eti wana mbinu, wana nia ya kushinda.Na thisi time eti wataishinda na kuimaliza CHADEMA km NCCR..Dogo anakiri kuwa waliiua NCCR.na wana Nia na CHADEMA..Ila anasahau kuwa hata kam kweli wangekuwa wanaweza si kauli ya mtu anayejua democrasia.Wao kuua wengine ndio kushindana.

Namhurumia sana dogo ,kaona maigizo yao bado yanamdanganya kuamini kuwa CHADEMA ipo ktk hali ngumu.

Anaungana na NAPE pia anaetaka kuua badala ya kushindana kwa hoja
 
Nilikuwa naona january ana akili kumbe na yeye kaweka nazi kichwani

Haha mimi aliponiacha hoi ni pale aliposimama bungeni mara ya kwanza....Alianza na sababu ya yeye kukaa kimya muda mrefu..halafu akatema pumba kadhaa......na alikuwa kaionekana wazi kakariri.


Hawa ni watoto ambao huaza na house boys wao, wazazi na ndugu zao chumbani kuwasifia kuwa wapo makini,kicha huenda kwa watu wanaowategemea na kuishi ktk familia zao(Yaani unamuuliza mtu unayempa chakula) kuwauliza km wewe ni fiti haswa.
 
wanachojidanganya ccm nikudhani kwamba kuiua chadema ndio kuijega ccm, watu hawaichukii ccm kwa kuwepo chadema watu wanaichukia ccm kwa vitendo vyao vya kutokuwajali wananchi katika maslahhi ya nchi,hivyo watu wanaipenda chadema kwa kuona kwamba labda watawajali watakapopata madaraka ya kuongoza nchi, hivyo kama wanamkono katika kuleta mgogoro ndani ya chadema na watu wakielewa hivyo ccm wajue kwamba watakuwa wanaijenga chadema na wataelewa wazi ni kwa nini wanawapandia chuki hivyo chadema itajengeka zaidi ya wanavyofikiria. ndio maana kila siku nawaambia ccm hila zao ndizo zinazokijenga chadema

Mimi sigombanii ongoza wengine ..kwa hiyo hata kama nikiwa mwepesi, sina mdhara kwa wengine..Ila ujue hata akiw ahuko CCM anakula kodi zetu zinazibwa na CCM,pia ni waziri anayekula kodi zetu n aanafanya maamuzi yanayoaffect wote sisi.

Msiwe wajinga sana maccm,kudhani kuwa mna haki zaidi ya kuwalisha watu uchafu na ujinga wenu bila wao kuridhia.
 
Namfaham ndg January kama kijana mwenye hekima na busara (pengine) kuliko umri wake.
Kama ni kweli ameongea maneno hayo basi itakua alipitiwa kwani yeye ni mmoja kati ya wengi tunaoamini kuwa bila upinzani imara serikali(CCM) haiwezi kuwa imara.
Tumsamehe kwa kua ni kosa la kwanza.
 
C msene Ukweli tu shida ni Pesa za ruzuku na Kutangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama,hakuna kiongozi wa upinzani wa ukweli woote njaa tu ndio zinawasukuma!!
 
Nataka kufanya utafiti wa uhusiano wa uongozi ndani ya ccm na uwezo wa kifikiri.

kabla hajapewa uwaziri Janiari alikuwa Kichwa, sasa kawa wakawaida sana. Nahisi kaacha kusoma na kusiliza.
s
 
C msene Ukweli tu shida ni Pesa za ruzuku na Kutangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama,hakuna kiongozi wa upinzani wa ukweli woote njaa tu ndio zinawasukuma!!

Ukweli upi zaidi ya aliyesema Makamba.
 
Namfaham ndg January kama kijana mwenye hekima na busara (pengine) kuliko umri wake.
Kama ni kweli ameongea maneno hayo basi itakua alipitiwa kwani yeye ni mmoja kati ya wengi tunaoamini kuwa bila upinzani imara serikali(CCM) haiwezi kuwa imara.
Tumsamehe kwa kua ni kosa la kwanza.

Ila pia una hitaji jua kuwa ubora wa kiongozi hupimwa ktk migogoro, na kipindi cha upinzani mkali.Sasa km hana upinzani ktk CCM sasa anakutana na upinzani anapotoka na kukutana na CDM,na kesho atakutana na upinzani km uliomkuta jK ktk EAC au mkubwa zaidi.

SO dogo kasema na si mara kwanza kujaribu ingiza pua ktk upande wa CDM ili kuwaonyesha CCM.Hapo ndipo anapokutana na kipimo kikubwa kinachoweza mlazimisha kuonyesha udhaifu wake mkubwa ktk kupambana.

Ukitaka jua mzazi wako anatukana matusi mabaya sana..basi msikilize siku una muudhi, ukitaka jua Mlevi(alcoholic) whisky yupo vipi ,mtazame akiwa hana hela anavyofakamia gongo.Ila kwa mnywaji mwenye kutawala hisia zake akikosa ya whisky atatafuta mbadala au aache kabisa.
 
Nataka kufanya utafiti wa uhusiano wa uongozi ndani ya ccm na uwezo wa kifikiri.

kabla hajapewa uwaziri Janiari alikuwa Kichwa, sasa kawa wakawaida sana. Nahisi kaacha kusoma na kusiliza.
s

Haha..alipokuwa nje ya CCM hakuwa na mashinikizo mengi ya kulinganisha vitu vingi ili aongee,hakuhitaji kuongea na watu wasiomfagilia na hivyo alikuw akaiongea na watu wanaompenda,watu wanaoweza ona upande mzuri wake tuu.hakuwa na misukosuko ya kumsukuma kuonyesha kuwa ni zaidi ya vyeti.Alipoingia CCM ilibidi a adopt CCM logic na mitizano ambayo ni illogical .Ndio ikawa platform yake ya kuingia ktk challenge kubwa zaidi.

Yaani kapunguza uwezo kidogo alikuwa nao na kuongeza ujinga, halafu anaingia ktk changamoto kubwa zaidi.JInsi anavyotikiswa zaidi ndipo anapoangukia ktk madhaifu yake km vitu vya kumuokoa.
 
Januari anataka kufanya kosa baya kisiasa, kama kweli anaiwania ile nafasi ya juu nchini aachane na siasa za kukashfu CHADEMA, mambo ya CHADEMA awaachie wenyewe, huwezi kuwa mwanaCCM makini kwa kukashifu CHADEMA, kazi za kashifa awaachie wenye akili ndogo mbona wapo na wanajulikana kwa majina, kwa bahati nzuri yeye si mmoja wao labda kama naye anataka kujiunga nao sasa
 
Hivi mbona we ni sloopy sana,hakuna mtu mweka akili smart kwa vijana kama huyo,ww una bwabwaja tu,siasa yenyewe umeijua juzi ulipomaliza form four
hebu tuwekee hapa mfano mmoja tu wa alichokifanya kwa kutumia hiyo akili smart aliyonayo , unafiki hautakiwi humu jf , lete ushahidi tuone , kuhongwa simu kusikufanye uwe mbumbumbu kiasi hicho !
 
Hivi january anajua CDM inaua CCM wakati KINANA NA NAPE WAKIWA WAPAKWA MAVI NA KUFICHWA MBALI NA hadhira?
 
Back
Top Bottom