WanaJF,
Msingi wa hoja yangu upo kwenye hali halisi ya mambo ya siasa yanavyoendelea hapa nchini; CHADEMA imevifunika vyama vyote kwa umarufu na kuteka mioyo ya watu
1. Si jambo la kupinga , kiongozi wa CHADEMA hususani Mwenyekiti na Katibu ni karibu watanzania wote wanafuatilia ratiba zao za kikazi wanapenda kujua wako wapi na wanafanya nini kwa wakati huo, tofauti pengine ilivyo hata kwa Rais na waziri Mkuu, uthibitisho ni vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo na mitandao ya kijamii
2. Ni chama pekee ambacho kwa kipindi kama cha miaka miwili mfululizo kinaandikwa sana kwenye vyombo vya habari,bungeni na kwenye mitandao ya kijamii
3. Ni chama ambacho nguvu ya kukihujumu imetumika nyingi sana lakini bila mafanikio tofauti na vyama vingi vya upinzani vilivyowahi kutokea hapa Tanzania
4. Ni chama pekee cha siasa kinachoweza kuthubutu kufanya maamuzi magumu, rejea kufukuza madiwani wasaliti Arusha na kutetea viti vyote kwenye uchaguzi wa madiwani
5. Ni chama kilichobebeba Uzalendo wa kweli na hakina unafiki
6. Mwisho ni chama kinachoenda kuandika historia ya kukiondoa chama tawala kikongwe madarakani 2015, kwa maana kuna kila dalili kuwa sasa CCM haina uwezo wa kupambana na chama kilichojaa watu wanaojitambua
Msingi wa hoja yangu upo kwenye hali halisi ya mambo ya siasa yanavyoendelea hapa nchini; CHADEMA imevifunika vyama vyote kwa umarufu na kuteka mioyo ya watu
1. Si jambo la kupinga , kiongozi wa CHADEMA hususani Mwenyekiti na Katibu ni karibu watanzania wote wanafuatilia ratiba zao za kikazi wanapenda kujua wako wapi na wanafanya nini kwa wakati huo, tofauti pengine ilivyo hata kwa Rais na waziri Mkuu, uthibitisho ni vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo na mitandao ya kijamii
2. Ni chama pekee ambacho kwa kipindi kama cha miaka miwili mfululizo kinaandikwa sana kwenye vyombo vya habari,bungeni na kwenye mitandao ya kijamii
3. Ni chama ambacho nguvu ya kukihujumu imetumika nyingi sana lakini bila mafanikio tofauti na vyama vingi vya upinzani vilivyowahi kutokea hapa Tanzania
4. Ni chama pekee cha siasa kinachoweza kuthubutu kufanya maamuzi magumu, rejea kufukuza madiwani wasaliti Arusha na kutetea viti vyote kwenye uchaguzi wa madiwani
5. Ni chama kilichobebeba Uzalendo wa kweli na hakina unafiki
6. Mwisho ni chama kinachoenda kuandika historia ya kukiondoa chama tawala kikongwe madarakani 2015, kwa maana kuna kila dalili kuwa sasa CCM haina uwezo wa kupambana na chama kilichojaa watu wanaojitambua