Shobi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,401
- 4,371
Pole sana...
Mimi kanuni yangu ni kwamba huwa nakagua vitu vyote kabla ya kufunga mlango na nikishafunga tu ni ngumu sana kufungua namaanisha ngumu kweli kweli nitaishia tu kucheki kwa dirishan....
ningependa kukushauri weka mazingira safi na tumia gam boti na weka taa za kutosha kuzunguka eneo la makazi
Mimi kanuni yangu ni kwamba huwa nakagua vitu vyote kabla ya kufunga mlango na nikishafunga tu ni ngumu sana kufungua namaanisha ngumu kweli kweli nitaishia tu kucheki kwa dirishan....
ningependa kukushauri weka mazingira safi na tumia gam boti na weka taa za kutosha kuzunguka eneo la makazi
