Kuna hadithi ya kitambo sana Umenikumbusha, Tanga maeneo ya mabawa jamaa kang'atwa na nyoka... Akawa anaugulia asijue cha kufanya... Kuhu watu wengine wakijaribu kumsaidia lakini inaonekana nyoka alikuwa na sumu kali mno... Ghafla akapita bibi anauliza kinachoendelea,, kusikia kwamba jamaa kang'atwa na nyoka... Akamwambia asubiri dakika kadhaa akafuate dawa... Akamchukua binti aliyekaribu akaingia nae kwenye boma baada ya dakika chache wakarudi bibi kashikilia chupa ina maji... Jamaa anaambiwa hiyo ni dawa... Masharti yake unywe bila kuisikilizia.... Jamaa akanywa kisha akapona... Mwisho wa siku anaambiwa hiyo dawa ni mkojo.... Sikumbuki lilikuwa ni gazeti gani kati ya champion, kiu ama sani
Sent using
Jamii Forums mobile app