Jana nimekula kitimoto bila kujua!

Jana nimekula kitimoto bila kujua!

hongera sana kwa kitendo cha kishujaha,,,,,,.. kawasimulie na wenzako kuwa hii nyama inalika bila tatizo
 
ANAKUAMBIA KITIMOTO HARAMU HALAFU ALIKUWA BAR??JE POMBE DINI INARUHUSU???!!
Muislamu anaruhusiwa pombe. Mchepuko hivi anaweza kufanya hadharani ila kitimoto anaruhusiwa tu pale ambapo haonwi na masheikh wenzake. Njoo Kigogo sambusa au Kimara uone wanavyo ichangamkia
 
Muislamu anaruhusiwa pombe. Mchepuko hivi anaweza kufanya hadharani ila kitimoto anaruhusiwa tu pale ambapo haonwi na masheikh wenzake. Njoo Kigogo sambusa au Kimara uone wanavyo ichangamkia
Aiseee!!Kumbe wenzetu mashehe wanakula kitimoto kwa kificho??Tena wanashushia na bia??
 
Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Naamini hata ungeletewa mavi ungekula tyuu.njaa mbaya sana aisee.Hicho kichefuchefu ulichonacho ni dalili ya uzinduzi wa kampeni za kinafiki mwilin mwako.kwa sababu dawa ya moto n moto.kula kama kilo moja tena kitaacha na wala hutatapika teeeenaaa.
 
Mwislamu kula hiyo kitu siyo kosa na hapo huna dhambi.Ingekuwa kama ungedhamilia .Tunavyokula bahati mbaya ni vingi.
 
Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Pole.
1. Wewe ni wa iman gani?
2. Mwenye shughuri alikuwa na iman gani?
3. Mezani kulikuwa na vinywaji gani?
4. Kama mwenye shughuri akikiwa mkristo na vinywaji vya mezani ni bia?. Kwa nn uliamua kuamini vyakuka vilivyoko mezani?
5. Kama ni mkristo, kwa nn hukuuliza uhalali wa vyakuka vilivyoko mezani?
6. Qur'an inasema nn kuhusu jambo ambalo unashaka nalo?
7. Rejea kidogo Surat An-Naas.
 
mazingira ya jiko la bar linalochoma kitimoto limetofautiana na jiko la ng'ombe wewe ulijiandaa kula sema haramu sio kula kitimoto tuu zipo nyingi...
 
Ukionja nyama ya mbuzi katoliki kamwe huwezi kuacha..!
 
We kama hujatapika endelea kula. Maana mm naamini ukla halafu usife hicho ni chakula bora
 
Back
Top Bottom