Nilijua mbuzi BT nilishangaa kwann laini?
Hahaha,haya bwana...wel,hakuna nyama tam dunian kama hyo,wanaokula kwa fujo na kuisifia usione wajinga bwa mdogo,hyo nyma ni balaaMkuu mi siko km unavyonifikiria sijisikii kula kabisa sina mud
You said it before right!? Lakini jana ukaitafuna kitu laiiniiiii. Never say never mkuu.Never
Ngumu kumeza
Utazoea tu kwani hiyo zambi moto wake upo tofauti na wauzinzi au kusema uongo.Ndio mkuu
Hadi umehamishiwa thread Bila Shaka umefaidi sanaNilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Sijawahi kuiona mkuu BT nimejifunza kituPork inajulikana mr kwa kuiona na kuila. Sema ulinogewa kwa utamu. Unahisi kichefu chefu? Acha kudanganya watu mr. Nyama yyte ambayo haujawahi kuitumia unapoaanza kula utahisi utofauti. Sema utamu ulizidi hizo zingine ni mbwembwe tu.
Kwahiyo mtu akikupa mavi ya mbuzi unaweza kula ukifikiri ni kiranga?Sijawahi kuiona mkuu BT nimejifunza kitu
Kuanzia leo uanze kula, hiyo maneno ni tamu balaa.Nilijua mbuzi BT nilishangaa kwann laini?
Uchu wa nini mkuu, hii nyama ni tamu tuRoho ya uchu tu.
Mbona papuchi zisizo za imani yako, na nje ya ndoa yako unakula,?! Au zenyewe sio haramu?!Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.