Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,301
- 2,393
Naombeni msaada wana jamii forum kwann ndugu zetu Waislamu wanaichukia sn nguruwe wkt km ni haramu wapo wanyama wengi tu waliokatazwa?(Agano la kale).Km vile Sungura, kambale, n.k
Kama hujawahi kuila utajuaje tofauti? Kama unajua ladha yake ndo utajua hii si nyama ya mbuzi, ngombe au kondoo. Kuanzia sasa ataweza kutofautisha. Cha msingi aliyekupatia hiyo kitu ndiye mkosaji kama wewe hukukusudia si tatizoKitimoto ya Bar hata ingepikwa saa 9 usiku inajitambulisha huwezi tofautisha mbuzi na kitimoto kweliii????..
Achana na hofu za kale, ni aibu mtu wa kalne hii kuogopa nyama labda kama unekatazwa na daktariNilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Haramu kivipi?kula tena uizowee.ni tamu sana.wanafiki ndio wanaiita haramu.Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Sio kosa lako asee hivyo dhambi si yakoNilijua mbuzi BT nilishangaa kwann laini?
Ndio maana anaitwa mbuzi katolikiNilijua mbuzi BT nilishangaa kwann laini?
Ulivyokula kikakukereketa nini?Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Kufa.Sio unafki,,am feeling very bad..
;Mbona hujatapita muda huo huo unakitafuna - nyambafNilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Amelaaniwa na nani?kama ulianza kutafuna hadi ukameza na bado hukushitukia basi Mungu akusamehe bure ila kama ulihisi kabisa ni hotchair na bado ukameza umelaaniwa.
Kaka wakiruhusu yule kiumbe tutaanza ambiwa yuko haTarini kutoweka, ni mtamu mno aisee... Na wabongo tunavyojua kwenda na upepo, tutamtafuna mpaka kuchaAcha uwoga Ww. Nguruwe aliyelaaniwa kwenye Quran na torati alishakufa tayari. Ww huoni hawa wanafugwa bandani na wanalishwa pumba kama kuku. Ila serikali jamani iruhusu nyama ya mamba iuzwe mabuchani. Daaah, mamba mtamu sana.

Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Kwani ulitapika?kama haukutapika siyo haramu na ujue kujitapisha kwa makusudi ni dhambi.Alafu na nyie mjiongeze Mungu aliumba nguruwe ili aliwe sasa we Mungu anaweza kuumba kitu ambacho akina faida hata wewe pengine ni mzigo kwa mkeo ,mumeo au wazazi wako lakini Mungu alikuumba kwa makusudi yake.Sio unafki,,am feeling very bad..
Daa tena upate nyama ya Mamba ya kuchoma na ndizi mbili ni balaa.Kaka wakiruhusu yule kiumbe tutaanza ambiwa yuko haTarini kutoweka, ni mtamu mno aisee... Na wabongo tunavyojua kwenda na upepo, tutamtafuna mpaka kucha