Dini zingine ni za ajabu kweli unadai unajisikia vibaya kula haramu halafu sehemu yenyewe uliyokulia ni bar kwahiyo kwenda bar kumehalalishwa?Ilkuwa bar mwanga hafifu
Hapa hatuzungumzii dini then nilihalikwa kwenye Ukumbi ambapo kuna bar hapo@ so nilipewa kadi mkuuDini zingine ni za ajabu kweli unadai unajisikia vibaya kula haramu halafu sehemu yenyewe uliyokulia ni bar kwahiyo kwenda bar kumehalalishwa?
Hapa hatuzungumzii dini then nilihalikwa kwenye Ukumbi ambapo kuna bar hapo@ so nilipewa kadi mkuuDini zingine ni za ajabu kweli unadai unajisikia vibaya kula haramu halafu sehemu yenyewe uliyokulia ni bar kwahiyo kwenda bar kumehalalishwa?
Hapa hatuzungumzii dini then nilihalikwa kwenye Ukumbi ambapo kuna bar hapo@ so nilipewa kadi mkuuDini zingine ni za ajabu kweli unadai unajisikia vibaya kula haramu halafu sehemu yenyewe uliyokulia ni bar kwahiyo kwenda bar kumehalalishwa?
Haramu maana yake nini?Hapa hatuzungumzii dini then nilihalikwa kwenye Ukumbi ambapo kuna bar hapo@ so nilipewa kadi mkuu



Nipo Mbeya nikuongeze huku bei poa kabisa......Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
Utajilaumu Bure,Jifariji Tu.Nilijua mbuzi BT nilishangaa kwann laini?
du mpaka kwa mama kamche unaenda, nipitie hapa tanzanite tukasuuze rohoJe ulipata jibu la mshangao wako? Maana hapo kwenye ULAINI ndipo penye ulimbo wa hiyo nyama. Nina hakika asilimia 65 utaenda kwa Mama Kamche kutafuta huo ulaini kwa mara nyingine. Pole sana mkuu.
kilo Tsh 6000Nipo Mbeya nikuongeze huku bei poa kabisa......
Tutaweka na Castle