Jana nimekula kitimoto bila kujua!

Jana nimekula kitimoto bila kujua!

Wenzio wanakula hyo nyama kama hawana akil nzur,tena ma ostaz orijino...we unasema kichechef,jamaa mnafk kinoma
Uislam haujazuia kula nguruwe, maananunaasema kama huna njaa usile, na kama kuna mboga ingine option usile, ila kama una njaa ama hapo ulipo hakuna option ingine just kula kwa afya yako
 
Pole sana.. Umenikumbusha miaka michache nyuma workmates wangu walikuwa Wana kawaida ya kuja kwangu mara kwa mara hasa weekends.....siku moja tukawa twala zenu nyama tumechoma wenyewe tupo kama wa nne hivi..then secretary wetu akaibuka moja kwa moja akaja mezani na kuanza kula nyama...asha bugia kadhaa akisifia nyama ndio nikakumbuka kwake ile ni haramu, nilishindwa mzuia nikakaa kimya maana sikuwa na jinsi. Baada ya siku tatu akauliza lini tena Kuna nyama aje? Jamaa mngine akaropoka mara nyingi kitimoto twala weekends tu....Daaah dada akabadilika sura na kukuuliza ina maana nilikula kitimoto? Basi alitapika sana tu that day. Tukanuniana wiki nzima but baada ya hapo...... Kama kawa tu.
Baada ya siku tatu alitapika, yawezekanaje atapike baada ya siku tatu au na siku hiyo alikula tena au alitapika chakula kingine?
 
Sio unafki,,am feeling very bad..
POLE ILA USULAZIMISHE KUJISIKIA VIBAYA. HIYO NDIO DHAMBI INATOKA MOYONI LAKINI KITIMOT IMEPITA NJIA YAKE NA ITATATOKEA NJIA YAKE SALAMA. SASA UMEHAKIKISHA KUWA KITIMOTO NI SALAMA KISICHO SALAMA NI YANAYOTOKA MOYONI.
 
Hizo Iman zinawanyiama rahaa wengi Sana'a


Huyo mnyama n mtamu
 
walaaa usipate kichefu chefu,, ile katu haikukatazwa yakhe ,,, ile walisema ati ukuwa na njaa ya kutosha utafune tuuu. lakini sio kwamba imepigwa marufuku. --niliyosema ni kwa uelewa wangu--
 
Kumbe ulikuwa Bar, hayo maji umeshayavulia nguo weye oga tu kwa raha zako.

Unless kama imani imekwambia yote ruksa kasoro huo mlo tu.
Hawa jamaa mimi uwa siwaelewi kabisa,tungi wao wanapiga mchana kweupe uzinzi ndio usiseme ila kitimoto wanajifanya wakali kama mbogo aliyejeruhiwa na risasi.
 
Mkuu ungeshushia na konyagi hicho kichefuchefu kingeisha
 
Usiseme haramu wakati ushakula, ungetapika ndio ungesema haramu.
 
Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
POLE MKUU
 
Back
Top Bottom