Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,144
- 5,007
usichukue muda mwingi kujihukumu unaweza kukuta unapoteza urafiki kwa kitu usichoweza kubadilisha na inawezekana kilitokea bila kukusudia jisamehe halafu wakati mwingine uwe makini.Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
vinginevyo kwa sisi tunaotumia haisumbui kabisa.

