Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,728
- 5,445
Jana Wananchi aka Utopolo walipata burudani ya kutosha ndani na nje ya uwanja. Hongereni watani kwa ushindi. Mlistahili kwa kuwa mna timu nzuri.
Kwamba wamemegana kimasiahara..Tukutane baada ya miez 9
AahaaaaaKwamba wamemegana kimasiahara..
Tayari tungoje kliniki zianzeKwamba wamemegana kimasiahara..
Tukutane ANGAZA piaTukutane baada ya miez 9
Huko usifike mkuu wana yanga tupo makini kuchaguaTukutane ANGAZA pia
Hio sehemu ipo ki local sana ila hizo pisi sasa babaakeJana Wananchi aka Utopolo walipata burudani ya kutosha ndani na nje ya uwanja. Hongereni watani kwa ushindi. Mlistahili kwa kuwa mna timu nzuri.
View attachment 2752409
😄 😄 😄Tukutane baada ya miez 9