Mnapata wapi nguvu za kumfananisha mchezaji anayekiwasha michezo ya nje na ndani na huyo anayeonekana kwa Mkapa tu?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,738
Miezi miwili iliyopita zilisikika sauti za kusema "hatumtaki Chama na Bora aende maana yeye siyo mkubwa kuliko timu".

Baada ya game ya Simba sc na Jwaneng galaxy Fc Chama kuonesha kiwango chake Kama ilivyokawaida kwenye timu ndogo huwaka kweli kweli na kufanya mashabiki waibuke nakuanza kuimba Chama ni Bora kuliko Pacome.

*Msichokijua kuhusu PACOME, ni kwamba huyu mwamba anacheza namba 8,10,11 na 7, huyu mwamba aka Kasi na anapiga miguu yote, huyu mwamba akili yake na utulivu katika lango ni hatari sana

*Huyu mwamba anakiwasha kimataifa na games za ndani, angalia mediama, Belouzdad na al ahly kote huku alikiwasha nje ndani bila kuchagua uwanja misri Ghana Wala kwa Mkapa.

Hii ni tofauti kabisa na chezaji lenye Kasi ya konokono anayesubiri kwa Mkapa tu ndiyo aonekaneakiwashe lakini hata mechi za Pale chamzi huwa anafichwa Kama titi ndani ya Sidiria kiufupi Chama ana mechi zake lakini siyo big talent Pacoume zizu.

Maoni Yangu: ni ngumu sana kumfananisha mchezaji anayekiwasha kimataifa Hadi local games na mchezaji anayesubiri kwa Mkapa tu.
 
Miezi miwili iliyopita zilisikika sauti za kusema "hatumtaki Chama na Bora aende maana yeye siyo mkubwa kuliko timu".

Baada ya game ya Simba sc na Jwaneng galaxy Fc Chama kuonesha kiwango chake Kama ilivyokawaida kwenye timu ndogo huwaka kweli kweli na kufanya mashabiki waibuke nakuanza kuimba Chama ni Bora kuliko Pacome.

*Msichokijua kuhusu PACOME, ni kwamba huyu mwamba anacheza namba 8,10,11 na 7, huyu mwamba aka Kasi na anapiga miguu yote, huyu mwamba akili yake na utulivu katika lango ni hatari sana

*Huyu mwamba anakiwasha kimataifa na games za ndani, angalia mediama, Belouzdad na al ahly kote huku alikiwasha nje ndani bila kuchagua uwanja misri Ghana Wala kwa Mkapa.

Hii ni tofauti kabisa na chezaji lenye Kasi ya konokono anayesubiri kwa Mkapa tu ndiyo aonekaneakiwashe lakini hata mechi za Pale chamzi huwa anafichwa Kama titi ndani ya Sidiria kiufupi Chama ana mechi zake lakini siyo big talent Pacoume zizu.

Maoni Yangu: ni ngumu sana kumfananisha mchezaji anayekiwasha kimataifa Hadi local games na mchezaji anayesubiri kwa Mkapa tu.
Simba ni sovereignity Club usiingilie mambo ya ndani ya Simba.
 
UNATAKA KUSEMA KUWA KUITWA TIMU YA TAIFA NDIYO KIGEZO KIKUBWA SANA CHA UBORA.
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali 😂

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki
 
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
ivory coast ina mastaa wakubwa kuliko pacome.
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki
Naunga mkono hoja
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki
Chukua like hiyo...Namalizia mimi Simba damu ila kwa kikosi na fomu ya sasa ya Yanga mchezaji pekee anayeweza kucheza kikosi cha kwanza cha Yanga ni Inonga waliobaki hakuna wa kucheza pale nafasi zao zina watu wa kazi.
 
Kwa maana hiyo umekwepa swali kwa kuuliza swali

Ngoja nikukumbushe.......

Mwamba wa Lusaka alikiwasha huko ivory coast hivi majuzi akiiwakilisha timu yake ya taifa CAFCC

Wakati huo mpaka bleach mkimbizi wa ivory coast alikuwa akipiga mbizi huko kigamboni tu maana hatambuliki huko ivory coast na hajawahi kuiwakilisha timu ya taifa hata kwa friends match tu.

Mwamba wa Lusaka ni mkuu kuliko huyo mkimbizi, hawezi kufananishwa na mkimbizi.
Team ya taifa unailinganisha na Zambia

Hivi mbumbumbu vicha vyenu vimejaa nini

Hajaitwa Wilfred Zaha alocheza Man u, crystal palace na sasa yuko Roma

Unashangaa kutoitwa Pacome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua like hiyo...Namalizia mimi Simba damu ila kwa kikosi na fomu ya sasa ya Yanga mchezaji pekee anayeweza kucheza kikosi cha kwanza cha Yanga ni Inonga waliobaki hakuna wa kucheza pale nafasi zao zina watu wa kazi.
Yes kwa Inonga huko sahihi kabisa.

Ana kiwango bora kabisa kakiwasha sana mataifa ya Afrika na kaibeba sana kongo.

Kimpira mtu akibisha kiwango cha Inonga atakuwa anaendekeza ushabiki tu.

Ila sio kwa Chama.

Huyu hapana hana consistency kabisa labda ni kwa sababu ya umri kumtupa mkono pia.

Ni mchezaji wa mechi ndogo tena sio zote.

Huwezi kumfananisha na Pacome kwa sasa ambaye anakupa ubora usiobadilika (consistency)kwa kila mechi iwe ndogo au kubwa.
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki
 
Back
Top Bottom