Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mwandishi Wa Chanel 10 kutoka Arusha amenusurika kufa baada ya kupata ajali mbaya iliyohusisha gari la Catherine Magige aliyepata jeraha kichwani huku Jamila Omary akivunjika mkono Mara tatu na mbavu moja.
Cha kushangaza ni kwamba CCM wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha taarifa hizi hazitangazwi kwani hata waandishi waliokuwepo kwenye tukio wamezuiwa kuizungumzia hata wakipigiwa simu wanajifanya hawajui lolote juu ya ajali hiyo.
Wakazi Wa hapa Ngorongoro wamefuatilia ni mambo ya kishirikina Kwa Siku za karibuni imekuwa desturi CCM kutembea na fisi na waganga Wa kienyeji kuhakikisha wanapata watu kwenye mikutano yao.
==============
Cha kushangaza ni kwamba CCM wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha taarifa hizi hazitangazwi kwani hata waandishi waliokuwepo kwenye tukio wamezuiwa kuizungumzia hata wakipigiwa simu wanajifanya hawajui lolote juu ya ajali hiyo.
Wakazi Wa hapa Ngorongoro wamefuatilia ni mambo ya kishirikina Kwa Siku za karibuni imekuwa desturi CCM kutembea na fisi na waganga Wa kienyeji kuhakikisha wanapata watu kwenye mikutano yao.
==============
Mkuu Crash
Aisee...habari ya kusikitisha sana hii.
Pole sana mpiganaji Jamila. Tumshukuru Mungu kwa kukunusuru katika ajali hiyo.
Mwenyezi Mungu akakufanyie wepesi na kukuafu katika kupata uponaji wa haraka wa maumivu na majeraha uliyoyapata katika ajali hiyo.
Lakini Kwanini CCM huwa wanaminya uhuru wa waandishi wa habari kwa kuwaagiza kipi cha kuandika na kipi cha kuacha au kiandikwe namna gani! Umekuwa ni utamaduni kwenye ziara zote za CCM. Si kitu sahihi hata kidogo.