Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 13,439
- 27,118
Mwambie asije akachelewa halafu akaanza lawama,huruma sio maleziwin-one wahi chap fursa isikupite
Subiri nikimbie kumwamsha/kumuamsha/kum'amshaMwambie asije akachelewa halafu akaanza lawama,huruma sio malezi
Una chocolate pembeni lakini,si unajua wa kishua mambo yao lakiniSubiri nikimbie kumwamsha/kumuamsha/kum'amsha
Kama ni hivyo hakuna haja ya kumuita wakishua hawana madeniUna chocolate pembeni lakini,si unajua wa kishua mambo yao lakini
Huwa na madeni ya vitu vidogo vidogo kama udambwi udambwi,unaweza kuta anadaiwa madeni ya chocolate,tambi tambi hizi,chauro,biscuits na vitu vitamu vitamu,wanapenda sana kula kula hiviKama ni hivyo hakuna haja ya kumuita wakishua hawana madeni
Subiri ajeHuwa na madeni ya vitu vidogo vidogo kama udambwi udambwi,unaweza kuta anadaiwa madeni ya chocolate,tambi tambi hizi,chauro,biscuits na vitu vitamu vitamu,wanapenda sana kula kula hivi
Halafu sitaki kuamini kwamba wadau wengi wa Usiku wa Manane hawajamaliza darasa la saba,kwamba kesho ndio wanafanya mtihani,maana siwaoni hapaSubiri aje
Wengi ni walimu, wamelala mapema kesho wakasimamie mitihani.Halafu sitaki kuamini kwamba wadau wengi wa Usiku wa Manane hawajamaliza darasa la saba,kwamba kesho ndio wanafanya mtihani,maana siwaoni hapa
Kama ni hivyo,sasa huwa wanajisomea saa ngapi na kutayarisha topic za kesho yake kufundishia,maana tunakuwaga nao hapa mpaka saa sita usikuWengi ni walimu, wamelala mapema kesho wakasimamie mitihani.
Ndo maana kiwango cha elimu kimeshuka! Wanaandaa vitu vya kufundisha wakati wapo kwenye kipindi wanafundisha😎Kama ni hivyo,sasa huwa wanajisomea saa ngapi na kutayarisha topic za kesho yake kufundishia,maana tunakuwaga nao hapa saa sita usiku
Aisee ni hatar sana,wanachukulia ualimu kuwa ni mazoea kama kuangalia tamthilia vile,kwamba hata ukikosa kuangali leo ila kesho utajua tu scene inayofuataNdo maana kiwango cha elimu kimeshuka! Wanaandaa vitu vya kufundisha wakati wapo kwenye kipindi wanafundisha😎
Ninavyowakandia walimu😂Aisee ni hatar sana,wanachukulia ualimu kuwa ni mazoea kama kuangalia tamthilia vile,kwamba hata ukikosa kuangali leo ila kesho utajua tu scene inayofuata