Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 13,644
- 27,537
mfanoSI kila vita inahitaji majibu,vingine vinahitaji kuachwa
Kule kwenye vyakula ndio ukweli unajieleza,tangu lini watu wa uswahilini wakala,soseji na mayai na mkate,zetu vitumbua,mihogo na viazilaiti ungejua ambavyo mimi sio wa kishua hata usinge kuwa unajihangaisha kuniita hivyo🤣
nimeagiza mshikaki wa shingo unauzwa mia 3
Mtu Akikuongelea shit unamwacha tu na kumdharau halafu unapita hivimfano
mi niliiba picha nikajipostia,, mi vyakula vyangu ni maboga, nyanya chungu kidog, muulize mshamba_hachekwi anao ushahidiKule kwenye vyakula ndio ukweli unajieleza,tangu lini watu wa uswahili wakala,soseji na mayai na mkate,zetu vitumbua,mihogo na viazi
Aaa wapi!!! Halafu una glass ya mtindi pembeni,wewe sijui hata kama unakula ugali🤣🤣🤣mi niliiba picha nikajipostia,, mi vyakula vyangu ni mabonga, nyanya chungu kidog, muulize mshamba_hachekwi anao ushahidi
tena ugali ndo my fvrt kabisa😆Aaa wapi!!! Halafu una glass ya mtindi pembeni,wewe sijui hata kama unakula ugali🤣🤣🤣
Mjini pamekuharibu. Naona unakula na tambi eti.mi niliiba picha nikajipostia,, mi vyakula vyangu ni maboga, nyanya chungu kidog, muulize mshamba_hachekwi anao ushahidi
nilikua naonjaMjini pamekuharibu. Naona unakula na tambi eti.
Nikawaambia ntaenda kumwambia kuwa mna msema anapenda mselelekoeh ukawaambiaje sasa,
ngoja nipone maumiv ya mgongo niwarudie huko shambaniNikawaambia ntaenda kumwambia kuwa mna msema anapenda mseleleko
Nahisi siku ya kula ugali utajibalaguza wee unapitia huku unatokea kule daadekitena ugali ndo my fvrt kabisa😆
agaaaah😆😆,, labda usiwe ugali dagaaNahisi siku ya kula ugali utajibalaguza wee unapitia huku unatokea kule daadeki
Nakupa challenge,siku kule kwenye vyakula nikuone ukila ugali,hapo ndio ntajua kama wala ugali au laaagaaaah😆😆,, labda usiwe ugali dagaa
sawa imeisha hii🤗Nakupa challenge,siku kule kwenye vyakula nikuone ukila ugali,hapo ndio ntajua kama wala ugali au laa
Sawaaaa!!!!sawa imeisha hii🤗
Hahahaha 🤣eh si ndio, jiandae tu kuokota ndugu yangu