Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,511
- 6,496
Mji ni tambalale sana huo na miundombinu nayo ni ya hovyo so ikinyesha mvua ya maana ni hatari sanaNilikuwa nadiscuss na jamaa yangu mmoja juu ya kadhia ambayo tutaipata,kama sisi wa daslamu,huu mji ni mzur kwa jua tu,lkn kwa mvua wallah utauchukia