JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

NOT EVERYONE IS BUILT TO WIN


Sio wote mtakuwa successful, na tuache kujidanganya sio kila mtu ameumbwa kuwa tajiri. Wengine wataanza, watachoka, watatoa excuses, halafu watarudi kwenye maisha yao ya kawaida wakijifanya hawakuwahi kutaka zaidi. Mafanikio hayana huruma yanahitaji watu wachache ambao wako tayari kuvumilia jasho, machozi, rejection, failure na maumivu ambayo wengi wanakimbia. Kama pressure imekushinda, give up. Dunia haita stop kwa sababu umechoka.


Na usijidanganye kwamba kila mtu atafika kileleni. Some people are simply going to watch others win. Kama huwezi kubeba uzito wa safari, achia njiani hakuna medal ya kushindwa. Wale watakaobaki wataendelea kusukuma wakati wengine wanatoa sababu mia za kwa nini hawakuweza. Success is not for everybody it belongs to those who can survive the price of getting there.
 
kweli big money never comes clean leo nimejaribu kufuatilia background ya Mogilevich, jamaa ambaye amehusishwa na organized crime, nikabaki na swali moja how the *** does someone afford a Mercedes-Benz 300 SLR Uhlenhaut Coupé ? 😂 Damn, hilo ni gari lililouzwa kwa karibu €135 million one of the most expensive cars ever sold the deeper you dig into serious money the crazier the shit gets.


Big money never comes clean or at least, it rarely comes without some dirty shit attached to it either you take calculated risks and step into a game most people are too scared as *** to enter or you stay average and play safely by the rules the system is fucking harsh It doesn’t care about your excuses, your comfort, or your bullshit you either learn how to play the game, or you spend your whole life watching other motherfuckers win 😅.

Mkuu Ertugrul Bey ni assets gani znazo weza kukuingizia 300M USD per year 😅
 
Back
Top Bottom