ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,257
- 40,890
Sio binti bana 😅😅 bado ngazi chache nitakanyaga huko kwenye 30 but thank you homieOmg kumbe bado ni kabint ila una akili kubwa homie, hongera sana
Sio binti bana 😅😅 bado ngazi chache nitakanyaga huko kwenye 30 but thank you homieOmg kumbe bado ni kabint ila una akili kubwa homie, hongera sana
mimi ni mpole ndio, ila sipendi kuwa chanzo cha ugomvi,,,Hahahaha
Nilikuaga nakuona kapole ila jana ulijitutumua sana... 🤣 Achana nayo, usiwaige kina Lamomy sawa. Si unaona mpaka uliomba msamaha uliona mambo mabaya yalee
Uliyataka haya🤣mimi ni mpole ndio, ila sipendi kuwa chanzo cha ugomvi,,,
nimechoka kujieleza hebu niache😅😅 utakoma sasa
Nikome mimi na nini tena?mimi ni mpole ndio, ila sipendi kuwa chanzo cha ugomvi,,,
nimechoka kujieleza hebu niache😅😅 utakoma sasa
kama vipi tukutane tupigane yaishe tu😅Uliyataka haya🤣
ee,, sitaki ugomvi gunnerNikome mimi na nini tena?
Haya sambaza upendo rafikiee,, sitaki ugomvi gunner
ukowapi tukacheki ball ya watani wa jadi?Haya sambaza upendo rafiki
Unataka tukutane? 😂ukowapi tukacheki ball ya watani wa jadi?
mi nimesema tukutane au tukacheki ball we vipi babuUnataka tukutane? 😂
Tutacheki boli bila kukutana?mi nimesema tukutane au tukacheki ball we vipi babu
ndio kwan haiwezekani?,Tutacheki boli bila kukutana?
Itawezekanaje sasa, si unakuja na kutoa date ma mpira huko hukondio kwan haiwezekani?,
nachomaanisha ni wew unatoka kwa shemeji yako na mimi natoka magetoni kwangu huku bush tunaelekea kwenye mabanda ya mpira at the same time ila wew ukiwa huko ambako sikujui na mimi nikiwa huku ambako hukujuiItawezekanaje sasa, si unakuja na kutoa date ma mpira huko huko
🍿 ERTUGRUL BEYnachomaanisha ni wew unatoka kwa shemeji yako na mimi natoka magetoni kwangu huku bush tunaelekea kwenye mabanda ya mpira at the same time ila wew ukiwa huko ambako sikujui na mimi nikiwa huku ambako hukujui
Umeanza sasa 🤣🤣nachomaanisha ni wew unatoka kwa shemeji yako na mimi natoka magetoni kwangu huku bush tunaelekea kwenye mabanda ya mpira at the same time ila wew ukiwa huko ambako sikujui na mimi nikiwa huku ambako hukujui
Mi naogopa bana acha bana🥹kama vipi tukutane tupigane yaishe tu😅
Wewe nenda kalale😂
Kama ni kwa bed 6 kwa 6 niko tayari kipenzikama vipi tukutane tupigane yaishe tu😅
🏃♀️🏃♀️Wewe nenda kalale😂