JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Ni kweli kabisa Mkuu,humu Kuna kufuata mkumbo,Kuna waharibifu wa tabia za watu ni vzr kuwakwepa ikiwezekana
Mimi huwa nawaambia hawa wadogo zangu wakina ephen_ win-one wasimsikilize huyu dada yao binti kiziwi anawapo teza wanapaswa kuwa wema, wa mche Mungu na kuishi katika njia kuu ya upendo. Ila sasa natumia nguvu sana.. Labda ujaribu na wewe mkuu
 
No unaonekana tu ni mature homie
But nimependa mi sipendi ku engege na vijana wadogo mimi hua sivutiwi kabisa

Akili yangu nadhani inaweza ku deal na watu wasio na mambo mengi
😂😂😂, kwahiyo unataka kuwaambia Gen Z kwamba you are not into them and should stay away from your zone
 
😂😂😂, kwahiyo unataka kuwaambia Gen Z kwamba you are not into them and should stay away from your zone

Vijana sio watu wabaya at all homie maana hata mimi sijafika miaka 30

But honestly, sivutiwi sana nao when it comes to serious discussions or making them part of my close circle, especially vijana wa kiume
Sio kwamba nawaona vibayn hapana ni just kwamba I don't really connect with them that much😂
 
Vijana sio watu wabaya at all homie maana hata mimi sijafika miaka 30

But honestly, sivutiwi sana nao when it comes to serious discussions or making them part of my close circle, especially vijana wa kiume
Sio kwamba nawaona vibayn hapana ni just kwamba I don't really connect with them that much😂
Omg kumbe bado ni kabint ila una akili kubwa homie, hongera sana
 
Back
Top Bottom