JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Swali la kijinga,lijibu kwa jibu la kijinga,

Upo na rafiki yako mchana,na anakuona kua umefuga nywele,kisha mnaachana kila mtu anaenda kwake,

Wewe una amua kwenda Salon unakata nywele,

Jioni unakutana tena na yule rafiki yako,kisha anakuuliza huku anakuangalia kichwani; "Umekata nywele?"

Unamjibu; "Hapana sijakata nywele bali nimebadilisha Kichwa"
 
Swali la kijinga,lijibu kwa jibu la kijinga,

Upo na rafiki yako mchana,na anakuona kua umefuga nywele,kisha mnaachana kila mtu anaenda kwake,

Wewe una amua kwenda Salon unakata nywele,

Jioni unakutana tena na yule rafiki yako,kisha anakuuliza huku anakuangalia kichwani; "Umekata nywele?"

Unamjibu; "Hapana sijakata nywele bali nimebadilisha Kichwa"
"Kichwa ni kilekile, nywele zimeamua kustaafu." 🤣
 
Swali la kijinga,lijibu kwa jibu la kijinga,

Upo na rafiki yako mchana,na anakuona kua umefuga nywele,kisha mnaachana kila mtu anaenda kwake,

Wewe una amua kwenda Salon unakata nywele,

Jioni unakutana tena na yule rafiki yako,kisha anakuuliza huku anakuangalia kichwani; "Umekata nywele?"

Unamjibu; "Hapana sijakata nywele bali nimebadilisha Kichwa"
Hapana zimedondoka zenyewe.
 
Swali la kijinga,lijibu kwa jibu la kijinga,

Upo na rafiki yako mchana,na anakuona kua umefuga nywele,kisha mnaachana kila mtu anaenda kwake,

Wewe una amua kwenda Salon unakata nywele,

Jioni unakutana tena na yule rafiki yako,kisha anakuuliza huku anakuangalia kichwani; "Umekata nywele?"

Unamjibu; "Hapana sijakata nywele bali nimebadilisha Kichwa"
Hapana sijakata nywele
Sasa swali gani hilo
 
Back
Top Bottom