Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,963
- 25,552
Huna bundle 😆ni kwamba sina bundle ama ni nini? mbona kimtandao kipo chini hivi
sa nitawezaje kuwapa update za hapa kwa mtume😪😪,, nichangie basi la kumalizia usiku wangu😜Huna bundle 😆
Ujue nilikua sijaelewa kwa mtume kwa mwampopo🤣🤣 nazeeka vibaya aiseeesa nitawezaje kuwapa update za hapa kwa mtume😪😪,, nichangie basi la kumalizia usiku wangu😜
si ndio kwa mwampopo😅😅Ujue nilikua sijaelewa kwa mtume kwa mwampopo🤣🤣 nazeekq vibaya aiseee
Au ndio ile mtume kuna muujiza hapa!!!!sa nitawezaje kuwapa update za hapa kwa mtume😪😪,, nichangie basi la kumalizia usiku wangu😜
Nawe jiulize mtu humjui hakujui ila anakuchukia mpaka anakufungulia parody eti akukomeshe, people are sick🤦🏽♀️Chuki kwa mtu hamfahamiani inamana wengi jf wanachukulia personal kiasi iko
We are glad you are back,karibu mtaani kwetu tunatamba tu hatuna bayaMissed u more dear..
Kwakweli tambeni tu hakuna namnaWe are glad you are back,karibu mtaani kwetu tunatamba tu hatuna baya
yaan acha tu,,, mi wana nifurahisha mno wakianza kutoa ushuhudaAu ndio ile mtume kuna muujiza hapa!!!!
Apostle kuna kitu kimetokeaaa🤣🤣si ndio kwa mwampopo😅😅
Uache lugha za matusi. Hicho ndo kinakuponza.Nawe jiulize mtu humjui hakujui ila anakuchukia mpaka anakufungulia parody eti akukomeshe, people are sick🤦🏽♀️
kitu gani🤣🤣Apostle kuna kitu kimetokeaaa🤣🤣
SawaUnajua nini,sometime unaishi nao kitaalamu tu!
Niaaje niaje watu wa mtaa wa usiku wa manane,tunaanza kibabe namna hii,huku hatuna unyonge labda unyonge ulete wewe tu!
Leo bwana nikiwa job ile mitaaa ya jioni kabisa,katika harakati za kujirudisha mahome,tukawa tunabadilishana mawazo na homeboy mmoja hivi, leo si unajua ndio ile pay daay,so akasema ashadaka mapene lakini akianza zile hesabu za kutoa zile,si unajua zile total mshahara toa sijui bill ya maji,toa mgonjwa anahitaji dawa,toa sijui mtoto wa mjomba anataka kuoa,so hizi hesabu zikiendelea sana mwisho wa siku unakuta kamshahara kwako almost kushiney
Ndo akanipa code kwamba,kuna ndugu zake,wakati yeye anaumwa na mkewe,hakuna ambaye alionyesha sapoti ya kuchangia chichote,lakini now ndugu hayo full kupiga simu wanataka mchanga wa harusi wa binti yao,daaah sio poa
So mwamba akaja na hitimisho kwamba ukiendekeza sana kila kitu ujitoe kwa ndugu ambao hawana shukrani mwisho wa siku utafeli,kikubwa ni kuishi nao kitaalamu zaidi.
So kusaidiana ni jambo zuri sana kama binadamu na kama ndugu,ila pale ndugu hao hao ambao huwa unawapa kampani linapokuja swala la wewe kutaka sapoti yao na wao hawapo pamoja na wewe,inabidi ubadili mtazamo wako juu yao na kuishi nao kitaalamu zaidi
Alamsiki!