GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,700
- 18,063
Niko sehemu ambayo hakuna hizo sehemu za kujitoa out.hauna marafiki wa kuzungumza nao? au mda mwingine uwe unajitoa out ubadilishe mazingira
Marafiki sina.
Nilikuwa nafikiria leo labda nianze kuwa naenda uwanjani kucheza mpira.
What do you think?