makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,482
- 5,138
Sawa sawa Mh Rais wa Majobless Promaxmimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakemea shutuma hizo.
narudia wanachama hawana hela, hivyo katibu min -me aendelee na majukumu mengine
Sawa sawa Mh Rais wa Majobless Promaxmimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakemea shutuma hizo.
narudia wanachama hawana hela, hivyo katibu min -me aendelee na majukumu mengine
Msemaji Huyu min -me analamba asali ya ukunga /mildwife sio mwenzetuShutuma hizi ni kubwa Sanaa Mh. Makamu Bolotoba
Mnanipa wakati mgumu sana Mimi msemaji wa CHAMA hiki 😂
Naomba mh. Rais wa majobless promax Intelligent businessman ulitoleee swala hili ufafanuzi, shutuma hizi dhidi ya katibu wa CHAMA min -me ni nzito 😂😂
Au mnalamba asali na hatujui 😂
Mbona siwaelewi Rais Intelligent businessman na Makamu wa Rasi Bolotoba, Mimi semaji nimuwamini nani?Msemaji Huyu min -me analamba asali ya ukunga /mildwife sio mwenzetu
Yupo vyede mkuu🤣mimi huu mwaka tano sijaweza kujaribu kuuliza Ata bei ya mitungi mkubwa wa gesiMbona siwaelewi Rais Intelligent businessman na Makamu wa Rasi Bolotoba, Mimi semaji nimuwamini nani?
Je makamu wa RAIS anasema kweli na hii Pengine inatupa picha katibu mkuu min -me amelamba asali kiasi cha kulambisha mpk Rais? 🤣
Naomba madai haya yawe na ushahidi Mh. Makamu wa Rais 😂
Mnanipa wakati mgumu sana kukisemea chama 😂
Mimi mnavuruga sanaaa 😂Yupo vyede mkuu🤣mimi huu mwaka tano sijaweza kujaribu kuuliza Ata bei ya mitungi mkubwa wa gesi
Vibarua muhimu mkuu
Kuwa makini na wadudu kama nyoka, ng'e na tandu.Aya jioni tukutane usiku jamvini nipo kibaruani kwa boss nafyeka majani na kupruni miti
Ubarikiwe sansKuwa makini na wadudu kama nyoka, ng'e na tandu.
Kibarua chemaaa
Wapi hukoooNi saa ngapi huko