Curtiz
JF-Expert Member
- Oct 1, 2021
- 1,313
- 2,491
Boss kalewa hukuuTime : 1:01 AM
Location : Montana Lounge,
Place :Millennium tower
Status : Aliyekaribu aje karibu na Counter
Boss kalewa hukuuTime : 1:01 AM
Location : Montana Lounge,
Place :Millennium tower
Status : Aliyekaribu aje karibu na Counter
Karibu kijanaBoss kalewa hukuu
Jobless njoo nikupe kazi USAID,01:12 I mean no malice to nobody
Hii una maanisha nn mkuu01:12 I mean no malice to nobody
hahaha, shida mtazamo wangu ni tofauti kidogo.Jobless njoo nikupe kazi USAID,
Kutokuwepo kwa lengo la kudhuru, chuki au kuumiza kiumbe yoyote.Hii una maanisha nn mkuu
Hahaha, nime kula tikiti na maji since morning na bado niko hapa.Muanze kula mlo mmoja tuone mnakeshaje.
naam, Grammy ni uozo tu.01:14
Usiku tulivu
Hahaaa brother bado zimekutoa kwenye mstari.. Mimi akili saa hii ishatepeta at least tuongelee yale matikiti napataje maana ikifika saba na nusu nitalalanaam, Grammy ni uozo tu.
Kula maisha mkuu...Time : 1:01 AM
Location : Montana Lounge,
Place :Millennium tower
Status : Aliyekaribu aje karibu na Counter
billie ali stahili, halafu matikiti una taka niku tumie kwa basi??Hahaaa brother bado zimekutoa kwenye mstari.. Mimi akili saa hii ishatepeta at least tuongelee yale matikiti napataje maana ikifika saba na nusu nitalala
Ni wapi huko MkuuKula maisha mkuu...
Tukija CBD tutaomba location za kwenda kupunguzia mawazo
Nishazeeka, sijui hata wimbo mmoja wa billie elish na hata kwenye cowboy cater nazijua nyimbo tatu tu. 😁😁billie ali stahili, halafu matikiti una taka niku tumie kwa basi??
City centre boss.. Si upo millenium.. Mjini kabisaNi wapi huko Mkuu