JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

3:30AM

Natoka zangu home niende kiwanja, nimepishana na pisi kama 3 zimelewa vibaya mnoo.
Nimeona isije kuwa mtego nimerudi ndani kusikilizia kama sio majambarika.

Hallelujah!!!
Hahahaha 🤣 😂 😂 😂 mkuu mimi nilikuwa naenda chooni kukojoa, naingia chooni tu hivi naskia mtu nyuma ya ukuta anapanda kuruka ukuta, na vishindo vya mtu mwenye kilo zake naviskia kabisa, alafu eti alipofika ukutani ni paka kubwa jeusi 😂 nikaona isiwe tabu
 
Back
Top Bottom