vipi tajirikipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Wahi amara. Tutakukutakipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Unataka shift Yanini uanze mapema?Amara ndio nini?
uko wapi mkuu?kipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Unataka shift kwa ajili ya nini?Ndio mpaka asubuhi
mbeya au?Kuna mtaa panaitwa "kwa mama John", ni shida tupu
sogea mbeya pazuri mkuu 😁😁😁😁Ndio mbeya mkuu
Pole sana mkuukipanga85 , Fake P, min -me, Vincenzo Jr , DR SANTOS , To yeye,Kamkuki , Dream Queen , KENZY , No Escape, ephen_ , jooohs , BabaTina, Kaory , Curtiz
Natamani shift ianze muda huu, sina amani nimehamia makazi mapya usingizi hauji, kuna mbu nimesahahu neti, alafu kuna shida ya umeme ni giza nene. Siku nyingine mbaya Kweli kweli
Mambo vp chief,,lkn usiku wa manane bado mbona mapema 😂😂
Pole sana chief,kwahiyo wanakufanya uhisi kama sasa hivi ni usiku wa manane au sioNi kweli bado lakini huku nilipo kuna anopheles wenye milio nama zeze, waking'ata ni muwasho hatari
Usiku si usiku, nahisi usiku wa leo utakuwa mrefu mara 5 ya usiku wa kawaidaPole sana chief,kwahiyo wanakufanya uhisi kama sasa hivi ni usiku wa manane au sio
mwake babake tupo shift za usikuSafi tu vipi hapo
Poleni sana, tibuni kwa moyo mmoja, huenda katika hao wagongwa akawepo mke wangu mtarajiwamwake babake tupo shift za usiku
Hamna hela😀😀Poleni sana, tibuni kwa moyo mmoja, huenda katika hao wagongwa akawepo mke wangu mtarajiwa
Tomorrow is mystery unaweza toka mzima na ikarudi storiLeo nimeshuhudia moja ya road accident hapo njia ya tandika to buza mama na mwanae wamepata ajar ya boda boda na kupoteza Maisha papi papo
Hii dunia hii acha TU yaan ajar za bodaboda ni janga linamaliza watanzania wenzetu.
Daaah! Siku ngumu sana ya leo, taarifa za misiba zimekuwa nyingi mno aisee! sijui kwanini ila tu nusuriwe kwa kweliLeo nimeshuhudia moja ya road accident hapo njia ya tandika to buza mama na mwanae wamepata ajar ya boda boda na kupoteza Maisha papi papo
Hii dunia hii acha TU yaan ajar za bodaboda ni janga linamaliza watanzania wenzetu.