JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Miaka 2 ita kuwa mbaya sana??, na mahari huwa ngapi??
Miaka 2 ya Uchumba sio mbaya iwapo sababu zinajulikana.

Ila Kiutaratibu hutakiwi kuanza kumuonja onja huyo Bibie hadi mbariki Ndoa kabisa.

Unaweza kumuonja onja ukamjaza Kitambi then ukajikuta anaharibu Mipango.

Suala la mahari nafikiri linazungumzika, ongea na huyo Mchumba ako umueleze ungeweza kumudu kulipa kiasi gani

Vinginevyo unaweza kujikuta unalipa milioni 10 😜🙌
 
Miaka 2 ya Uchumba sio mbaya iwapo sababu zinajulikana.

Ila Kiutaratibu hutakiwi kuanza kumuonja onja huyo Bibie hadi mbariki Ndoa kabisa.

Unaweza kumuonja onja ukamjaza Kitambi then ukajikuta anaharibu Mipango.

Suala la mahari nafikiri linazungumzika, ongea na huyo Mchumba ako umueleze ungeweza kumudu kulipa kiasi gani

Vinginevyo unaweza kujikuta unalipa milioni 10 😜🙌
Tuanzie hapo kwenye ku onja onja, mbona wengi wamesha onjwa Sana😆🤣.

halafu hiyo mahari milioni 10 aisee, toka utotoni tume nunua vitu used, nguo used, sabufa used.
Na mke nae used 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom